Search results

  1. Mshiu Elias

    Sera ya Vyuo Vikuu kubakiza wahitimu wenye ufaulu wa juu badala ya kuajiri wasomi walio- practice unaathri ubora wa elimu inayotolewa vyuoni

    Chuoni hapahitaji "waalimu waliosota kufundisha/waliobobea" kama unavyodhani.. Chuo ni "higher learning institution" ndo maana hamna tuition za wanafunzi wa chuo
  2. Mshiu Elias

    Ubora wa elimu unaotolewa SUA, UDOM na UDSM

    au lbd anataka huko chuoni wakina nani wafundishe??
  3. Mshiu Elias

    Kuhusu hisa za makampuni yaliyo kwenye Soko la Hisa Dar (DSE)

    Kujua bei ya hisa kwenye soko la TZ ingia kwenye tovuti ya DSE... just google dse... Also, kama unataka hisa zako in cash, kwa njia rahisi, pata mtu umuuzie akupe cash, then afanye mchakato wa kubadili jina lenu to jina lake katika hiyo kampuni
  4. Mshiu Elias

    Biashara ya hisa Tanzania, faida inapatikana?

    Kikubwa hapo usinunue hisa ili uje uziuze... hapo ndo inakua mchezo wa kubahatisha... Shares utamu wake ni Dividend/gawio ambalo unapewa mara moja au mbili kwa mwaka kulingana sasa na value ya hisa 1 katika kipindi hicho
  5. Mshiu Elias

    Ninataka kuuza hisa zangu katika Kampuni ya TBL

    Naomba tuwasiliane kaka.. Ninamfahamu mtu atakaye nunua... 0765 670729
Back
Top Bottom