Inasikitisha sana maana mamlaka husika imeshindwa kusimamia huu mradi pamoja na ahadi zisizotekelezeka za kumleta mbia mwingine. Hii habari tumenza kuisikia tokea mwaka jana lakini hadi sasa no one cares. Hata hili nalo linamsubiri Mh. Rais aseme jamani?
Hivi mbona baadhi ya watanzania mliomo humu mnakasumba ya kupinga kila jambo linalofanywa na serikali? Mimi nafikiri kuwa rais ana nia njema ya uteuzi huu maana lengo lake ni kuhakikisha kuwa mifuko hii inapounganishwa inakuwa na viongozi madhubuti. PPF ni miongoni mwa mifuko inayofanya vizuri...
Mwanzisha mada nakuonea huruma kwa jinsi unapojidai kufahamu mambo ya kanisa ili hali hujui lolote. Nakushauri ujihusishe na siasa na uachane na mambo ya dini.
Acha uchochezi. Sukari ya Zanzibar haitoshi hata soko la Zanzibar peke yake. Tatizo la wafanyabiashara wanataka ku maximize profit kwa gharama ya mlala hoi. Rais Magufuli alilifafanua vizuri jambo hili.
Watanzania tusiwe tunafurahia binafamu akiwa anapata shida kwa namna yoyote ile iwe kiafya, kifedha au biasharahata kama wewe huma isiwe sababu ya kukufanya ufurahie mwenzako akiwa hafanyi vizuri maana anguko lake halikuongezei chochote kwenye maisha yako.
Vyeti soyo toja wapo wengi wenye vyeti tena vyeti vikubwa lakini hawana ubunifu wala usubutu na moyo wa kujituma kama Makonda. Mimi siyo meanachama wa CCM ila penye ukweli lazima niseme na sina roho ya kumchukia mtu bila sababu. Bravo Makonda endelea kuwatumikia wananchi ila ufanye maamuzi ya...
Mleta mada naona uwezo wako wa kufikiri na kuchambua mambo ni mdogo mno. Tatizo lako kila jambo hata kama ni la maendeleo linaloletwa na mtu asiyekuwa na itikadi kama yako unalifanya siasa ya upinzani. Naomba utenganishe majukumu ya TLS na ya CHADEMA.
Mbona mnaingiza siasa kwenye mambo ya profession? Huo sio uchaguzi wa vyama vya siasa na kila member mwenye sifa ya kugombea anahaki ya kufanya hivyo. Ndugu zangu watanzania hebu tuache kufanya kila jambo kuwa ni siasa. Endapo tutafanya hivyo hatutakaa tuendelee kamwe! Naomba tuwe na mawazo...
Hivi criteria ya kuajiriwa serikalini ni dini au ni ujuzi na maarifa aliyonayo mtu?. Watanzania tusipokuwa makini kwenye haya mambo ya msingi tutakujajijutia baadae na tutajenga taifa la manunda. Naomba tunapochangia kwenye hizi mada tuwe waangalifu na michango yetu. Waliopewa dhamana kwenye...
Mtoa mada hoja yako umeshindwa kuiwakilisha vizuri kiasi kwamba unawaacha watu na maswali mengi. Kama umelisoma gazeti ulipaswa kutoa muhtasari wa kinachohusiana na hiyo mada yako na siyo kuleta kichwa cha habari ambacho hakina maelezo. Au ulikuwa una feed forward?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.