mambo vp mkuu naomba kujua maendeleo yako kma ulipona mimi nmesa theead yako nmeielewa vizuri ni anal fissure lakin watu wanasema n bawasiri wakati ni magonjwa tofauti .vp ulipona kwa kutumia dawa gani
siji kusau mwaka 2019 nilikua naenda zangu kununua crown athlete nlipanda bajaji na mtoto mkali sana nilimuomba namba akanitolea nje ,sasa kama baada ya wiki hvi kuna hotel nilienda kulala so ile natoka zangu asubuh pale nikamuona yule mdada anamwagilia maua ya hyo hotel kumbe alikua akifanya...
Wadau habari, mimi nataka kuuliza.
Ikiwa ulikua ni mfanya biashara wakati na ulikua unalipa kodi vizuri tu TRA bahati mbaya biashara zikaenda mlama ukafilisika ukawa na deni kubwa TRA licha ya kuandika barua za kujitetea na kupewa mikataba mingi jinsi ya kulipa deni lakini ikawa umekwama bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.