Search results

  1. Kng barn

    Kwa anayejua huu ugonjwa Anal Fissure anisaidie mawazo

    mambo vp mkuu naomba kujua maendeleo yako kma ulipona mimi nmesa theead yako nmeielewa vizuri ni anal fissure lakin watu wanasema n bawasiri wakati ni magonjwa tofauti .vp ulipona kwa kutumia dawa gani
  2. Kng barn

    Kakosa Mume wa ndoto yake: Mdogo wangu wa mwisho kakosa mume kisa ana mtoto

    Kuoa mwanamke mwenye mtoto ni sawa na kununua kiwanja chenye mgogoro ni shida tupu humo ndani
  3. Kng barn

    Nashindwa kufanya mapenzi, Nikijaribu kuanza uume unasinyaa

    Hili ndo jibu sasa Alafu pia mwanamke kunyonya uume ikitokea hilo tatizo huwa inasaidia sana
  4. Kng barn

    Video: Unapanda daladala halafu unanitaka kimapenzi?

    siji kusau mwaka 2019 nilikua naenda zangu kununua crown athlete nlipanda bajaji na mtoto mkali sana nilimuomba namba akanitolea nje ,sasa kama baada ya wiki hvi kuna hotel nilienda kulala so ile natoka zangu asubuh pale nikamuona yule mdada anamwagilia maua ya hyo hotel kumbe alikua akifanya...
  5. Kng barn

    Msaada: TRA wanaruhusiwa na Sheria ipi kuchukua Mali za Mtu?

    Wadau habari, mimi nataka kuuliza. Ikiwa ulikua ni mfanya biashara wakati na ulikua unalipa kodi vizuri tu TRA bahati mbaya biashara zikaenda mlama ukafilisika ukawa na deni kubwa TRA licha ya kuandika barua za kujitetea na kupewa mikataba mingi jinsi ya kulipa deni lakini ikawa umekwama bado...
Back
Top Bottom