Mi naomba kuuliza mkuu kama una abc za Gaza, hivi Gaza haina Serikali, Bunge, Jeshi wala Mahakama. Maana kila nikifuatilia naona Warabu toka nje ya Gaza ndio wanaoisaidia Gaza kwenye Vita toka miaka ya kale., japo kwa sas sijuwi kwa nin wamekuwa wazito kuisaidia.
Ina maana hao Hamas ndio wenye...
Utajuwa wew.., maana wakuja siku zote huwa mnajifanya wajuaji kumbe hamnamo. Kukaa kwa shemeji yako hapo na wew ukaona umeyawin. Tafuta fuedha, tafuta fuedha tafuta fuedha kijana. Naamin kabisa wew ni more than regular people 100%.
Ha ha haaaa.., Jitahidi sana kijana wangu uwe na akili, akili hiyo itakuwezesha kupata mafanikio na utaondokana na umasikini. Ila ukiendelea na akili zako hizo shauli yako wakati hata chakurithi hapo kwenu hakuna.
Tatizo lako ushabiki mandazi na mpira umeanza kushabikia ukubwani ulipojuwa kubeti, tafuta kazi ya maana kubeti siyo kazi utakufa masikini ha ha haaaa.
Kipindi timu inafanya vizuri nyie nyie ndiyo mlikuwa seat ya mbele kusifia., acheni unafiki mpira utabaki kuwa mpira tu. Sas ni zamu ya kijani kupata furaha, hautakuwa mpira kama Simba tu itakuwa bora miaka nenda rudi.
Angalia England, Man U leo anasuasua tu na kuna kipindi Arsenal, Liverpool...
Mwigulu hana uwezo wa kuukubali huo mdahalo.., maana itakuwa ni fedheha kubwa sana kwake, kwanza alitwambia awamu hii hakuna wizi, uongo uongo tu na makanisani sijuwi huwa wanafuata nini.
Hakuna kitu hapo.., maana serikali na Bunge ni mtu mmoja ni sawa na wew kutoa buku ten mfuko wa kushoto ukaihamishia mfuko wa kulia.
Hakimu ni Mjomba na aliyeiba ni Binamu, huku Hakimu ni baba mdogo aliyepewa kazi na Shangazi, Kule Hakimu ni mtoto wa baba mdogo aliyepewa kazi na baba, ha ha ha...
Kulinda Watawala ili waendelee nao kupata mema ya Nchi, jiulize unakakuta kakijana kanauokota ukuu wa wilaya kutoka Lumumba mwisho wa siku kuna manyota anakapigia salute daaah.
Ukiangalia kwa makini saana, mfungwa wa Africa ni mtu masikini asiyekuwa na mwelekeo wa maisha., ila wale kina Mubaba, Fisadi, Mtawala hata aiibe serikali nzima na kuiuza daima hana hatia.
Imagine mtu kakamatwa na kipande tu cha nyama ya swala anakula miaka 22, wakati huo huo kuna mijamaa...
Ni jambo jema saaana, ila lingekuwa jema zaidi na zaidi kama wangepeleka na mswaada wa kuwashitaki pindi wanapomaliza mda wao na wakawa wameenda kinyume na matakwa ya katiba pindi wawapo madarakani.
Ila kwa kwa kuwa kazi ya bunge ni kutunga sheria na ili uwe mbunge sifa moja wapo ujue tu kusoma...
Mkurugenzi anasema hela zipo, mtu wa Manunuzi anasema tayari tumeshanunua vitu, Mtunza fedha anasema hela hazipo, yaani unajiuliza maswalu lukuki lakiki majibu unakosa. Hili Taifa lina tatizo kubwa saaaana pahala.
Tulimtoa mkoloni mweupe enzi zileeee, ila tukaingia tena kwa mkoloni mweusi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.