Huyu mama mgombea mwenza wa magufuli alikuwa mstari wa mbele kutupulia mbali maoni ya wananchi alipokuwa makamu mwenyekiti kwenye bunge maalum la katiba
GDP is not a suitable measure of economic welfare.A Country may have a great figure of GDP but if This GDP is not equally distributed in the society,then it is Meaningless.
Naomba kuuliza wakuu kuhusu kanuni aliyotumia J.ndugai kuwafungia wabunge 6 wa chadema.Spika anaweza akafanya uamuzi wowote nje ya kanuni na baadae uamuzi huo utaingia kwenye kanuni za Bunge.Swali: Je spika anaweza kuamuru mbunge aliekiuka kanuni kuchapwa viboko na wabunge wenzake na kisha...
Katika kikao cha bunge leo jioni zilikuwa zikisikika sauti za chini kwa chini za wabunge wa CDM wakimpa maelekezo mh.prof Kahigi jinsi ya kutoa hoja.Je ni kweli Mh.Prof hajui namna ya kutumia kanuni za Bunge?
QUOTE=Babu Kijana;6141415]Msigwa na CDM yake ni genge hatari sana, amedhihirisha kuwa wana ajenda ya kuubeba ukristo kuunyanyasa uislamu pale aliposema 'hatuwezi kukubali nchi hii iwe ya kiislamu'....it means anataka kuifanya kuwa ya kikristo!
Alisema nchi hii ni ya Watanzania wote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.