Usijaribu kufanya hivyo. Itaku cost.
JIULIZE - Ingekuwa ni wewe una hiyo shida na mkeo afanye hivyo ungekubali? Usiwe mbinafsi wewe. Tafuteni suluhu ya tatizo kwa pamoja bila kuchoka.
Kwa muda uliokaa kwenye ndoa ni mdogo sana kwa wewe kuanza kuwa na pressure, kuna workmate wangu alikaa 15yrs...
Sio D4, Mbona ziko nyingi tu? Naongea ninachokifahamu. Ninayo ina miaka karibia nane sasa.(engine 1ZZ-FE), Fuel consumption iko vizuri sana. Maintenance yake nu kawaida sana. Fanya service kwa wakati, tumia vilainishi bora, n.k. Utaipenda!
Kama engine (mwili) haina shida itakuwa mafuta mkuu. Uwe unajaza mafuta yenye ubora. Ukiweka yaliyochachuliwa ni shida sana. Kila siku jaza tikiti maji na mbegu zake, parachichi, tangawizi na achana na kujaza majunk.
Haitoshi, Hii nyumba ni kubwa (sqm 156). Kama utatumia material za kiwango cha kawaida kwa hela hiyo itafika kwenye lintel. Kama vitabaki vichenchi havitatosha kupaua.
Kama uko sehemu ambayo joto linakuwa above 30 degrees utakuwa umechemka. Na pia kama uko maeneo kama Mbeya, Arusha n.k oil uliyoweka si sawa pia maana joto huwa linashuka below 20. Ili kubalance ni kuweka 5W40 ambayo viscosity yake haiko mbali sana na hiyo 5W30 na pia unaweza kuendesha mkoa...
Mimi mwenyewe ninavyo ila tangawizi nayokunywa ukali wake si wa nchi hii. Hata ndizi mbivu nakula. Kipindi cha nyuma nilikuwa nikila ndizi napata kiungulia sana, nikaja kutumia dawa moja ya kienyeji ya kutoa nyongo ikanisaidia sana.
Kama mwanaume ni mbishi hapo ni majanga. Njia ya kalenda inatakiwa mwanamke na mwanaume washirikiane. Kuna app inaitwa My Calendar ni nzuri sana mwanaume kuwa nayo.
Yes hata kuwe na baridi kiasi gani. Lakini kama thermostat imechomolewa gari haitakaa ifikie "engine operating temperature" kwa hiyo itabugia mafuta sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.