Tafuteni kitabu kizima mkisome ili mkija hapa kutupa habari isiwe nusu nusu, tuelewe maana nzima.
Kuchomoa chomoa vipande huenda tusijue hilo limetokea katika context ipi?.
Wanaopondea mnataka bidamu afanyeje aeleweke?.
Kama taifa tuna madonda na Maumivu mengi yaliyotokea na...
Tunashiriki Chaguzi kwa kuwaza, maneno na vitendo.
Hata kama hawana mgombea Ila wangeshiriki kwa namna moja ama nyingine.
Hata kwa kuombea tu uchaguzi ufanyike Salama na tupate viongozi sahihi ni kushiriki.
Kushiriki uchaguzi kunaenda hata baada ya uchaguzi, kwani viongozi chaguliwa...
Kama mke wako ni Vice president na obviously Ana kipato kikubwa kuliko wewe hapo inakuwaje?.
Kama mke wako ni waziri wa afya au elimu na Ana kipato kikubwa kupita kiasi kuliko wewe hapo inakuwaje?.
Kama mke wako ni Mkuu wa mkoa?.
Kama mke wako ni mkurugenzi wa taasisi kubwa kubwa au...
lukindo,
Tunaanzia kitongoji then kijiji kwa halmashauri za wilaya, majiji, Manispaa na miji tunaanzia mtaa, then Kata, Tarafa, Wilaya, Mkoa n.k. Tuko vizuri na wengine wanakuja kujifunza kwetu.
lukindo,
Sio kwa vile huo ni wa Uganda ndio lazima uwe bora dhidi ya wa kwetu. Ninaamin yetu ni bora zaidi ukiondoa huu unazi wa kivyama uliopitiliza.
Usibeze kila kitu
Hivi waliosababisha makosa hata uchaguzi wa Zanzibar wa 2015 ukafutwa wameshitakiwa au kuwajibishwa wapi?. Hasara ya sh ngapi ilipatikana?. Ni dosari zipi hasa zilitolea hata ukafutwa?. Why not huu???
Simple, ifuteni chadema imegomea uchaguzi mbaki peke yenu. Hiyo mikwara Mbuzi na uzushi eti kuna fujo upeleke kwa mkeo.
Tujifunze. Tuliisambaratisha NCCR kwa majungu na dola, ikaja CUF. Tumeifanyia hivyo hivyo CUF kwa propaganda za ovyo na dola ikaibuka Chadema. Mnajidanganya. Ipo...
Najua hili unalijua ila umeamua tu kukifurahisha.
Waliopanda na mbunge mmoja, madiwani wachache hela walikuwa nayo?. Kiwango walichofikia walikopa kwako?.
Siku za mwizi ni 40. Tumieni mbinu zote ipo siku 40 yenu itafika.
Mnahitaji ushindi wa kishindo, mmeachiwa mpate wa Tsunami bado...
Hili suala halina afya kwa Taifa wala CCM yenyewe. Mara mia mngesubiri mkaiba kura kama utaratibu wenu ulivyo ( nyie ni majizi kwa asili) kuliko mlichokifanya.
Kupandikiza chuki katika level ya mtaa ambapo watu ni wachache, wanajuana, wengine ni ndugu n.k, hamjatafakari vya kutosha...
Kwa nini hizo figisu figisu hao watendaji wasiwafanyie CCM pia?. Inatokeaje ccm hawafanyiwi?. Na why figisu kutoka kwa watendaji not wanachama kwa wanachama?.
FIGISU hizi zilizobarikiwa katika ofisi hizo haziwezi kuwa ndio hizo hizo zilizoleta hasira watu wakaandamana hata Tukampoteza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.