Habari ya siku nyingi.
Kweli kama vile mkate mgumu ukiwekwa kwenye chai unavyokuwa ndivyo hivyo na wanaume tunavyokuwa mbele ya wanawake kunako 6*6, na ndiyo maana katika moja ya njia ya mwanamke kukudhibiti na kukupa maumivu ya moyo ni kukunyanyasi tamu yake hakika maana kukupiga mwanaume...
Nimegundua wanaume waoaji na wenye nia ya dhati kuoa na kuishi na mke maisha ya kumpendeza Mwenyezi Mungu tupo tukianza na mimi ila kuna ugumu mkubwa na upinzani mkali sana katika kutafuta mke mwema, na usipo kua mwangalifu unaweza ukajipatia mental disioder hivi hivi.
Sasa ili kujilinda...
Heri ya mwaka mpya na habari za siku nyingi.
Mwaka jana nilikutana na huyu binti wa kirangi katika mazingira yangu ya kazi, sikujua kama ni mke wa mtu tukawa kama marafiki huku nikimsaidia mambo ya hapa na pale ila katika utani utani baina ya mwanaume na mwanamke nikajikuta na mtongoza alikaza...
Wanawake tunawatongoza kwasababu tuliambiwa tuwapende, hatupendi kuishi wenyewe wapweke ndiyo maana tunawafata.
Inasikitisha sana mwanamke unamtokea alafu anakujibu tuu direct
1: "SIKUTAKI"
2: HUNA HADHI YA KUA NA MIMI
3: ANAKUPANDISHA NA KUKUSHUSHA ALAFU ANATEMA MATE CHINI ANAONDOKA ZAKE...
Salaam sana.
1: Je, ni sahihi kumpa hela pamoja na matunzo mwanamke ambaye hujamuoa kabisa kwa kisingizio cha uchumba kuwa wanadai matunzo na vihela vidogo vidogo?
2: Je , ni halali kumpa 50,000/= kila mwezi mwanamke kama hela za kumtunza ilihali wazazi wake wote wapo na pia ukizingatia kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.