Benki ya NMB imeingia kwenye kashfa kubwa ya kuajiri wakimbizi watatu kutoka nchi ya Burundi, wanaoishi na kufanya kazi kinyume na sheria.
Kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari, wakimbizi hao watatu ambao wote wana jinsia ya kike wameajiriwa kwenye matawi tofauti ya benki hiyo.
Mmoja...
Nna wasiwasi kwamba una maslahi kwenye hili jambo. Kiuhalisia wewew si muongeaji lakini kwenye hii ishu ya lugumi umegeuka kuwa msemaji mzuri sana inginia
Mkuu ungenawa uso kwanza, piga mswaki, then upate kifungua kinywa ndio uje kuchangia.....huu utaratibu wa kuchangia hoja huku uso umejaa tongotongo na tumbo halina kitu una madhara makubwa sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.