Lundenga hana Mshipa wa aibu kwani kila kitu kiko wazi kuwa sitti amedanganya, Mosi: akiwa jukwaani alisema ana umri wa miaka 18 na wakati cheti cha kuzaliwa alichowakilisha Miss Tanzania kinaonyesha miaka 23, je majaji na Lundenga wanataka ushahidi gani hapo. . Nimemsikilia Lundenga anadai wao...
Venine hongera kwa kuwa upande wangu, Umesema familia ya bwana harusi ni ya kichoyo, kikorofi na isiyo na busara, kwa maelezo ya Bibi harusi inaonekana familia hiyo ni yenye busara na isiyo na uchoyo ndio maana waliwaruhusu waingie wale watu wawili waliozidi, na Pia familia ya Bibi harusi...
Kwanza kabisa pole ila siku zote lazima mtu ujiandaye kwa maisha yajayo na mikikimikiki yake, hapo kuna suala dogo sana ambalo wote wawili mnalo na kuindoa hiyo tofauti yenu nikujishusha kwanza, maana fahari wawili hawakai zizi moja. kwa sababu siku ya harusi yenu kulitokea tatizo la kuzidisha...
Ufoo hata Mtoto akisoma hiyo stori unakuta kuna mengi anaficha na pia pia kama alimwona akijipiga risasi kidevuni na kuanguka je Risasi aliyopigwa begani ilitoka wapi, Hapo Iko Maneno itajulikana tu, na Ndg zake wenyewe wamesema kulikuwa na tofauti zao na pia Ufoo aligoma kuhamia kimara, Mdogo...
Ndg ukiona Watu wanakusalimia Shikamoo ujue wanakuona umekomaa au umezeeeka, tena kama unavyojisifia hivyo mwenyewe najua napata jibu kuwa wewe pia Una matatizo ya kupenda sifa
Ndg yangu fanya makosa yote Duniani ila usifanye Kosa katika Kuoa, angalia usije ukajutia maisha yako yoote, maaana Mwanamke asiyetaka suluhu kwa Mambo madogo kama Hayo , ukimwoa atakusumbua haswa, aangalia sana ndg yangu
Hapa ndipo tunapoona nguvu ya pesa inavyofanya kazi, Yetu Macho na Hapo Chadema jiandaeni kuchukua kata hizo zoote, hasira za mkiza .........Mvuvi,,,,,,!!!
Ni wazi kabisa Nape katika hili hajakurupuka katiba inasema kama uteuzi wake wa mwisho ni wa Nec Mkoa, hapa Uchaguzi wa mwisho ni wananchi wanaowawakilisha.
Najua wote tunapenda kusikiliza na kuzungumzia ndoto za alinacha, Hakuna cha Sumaye wala Jk hapo, Je Sumaye kesha rudisha zile eka 600 alizopora Morogoro, na ukizungumzia madawa ya Kulevya na Ufisadi hapo CCM ndio wanaongoza na hakuna mpiganaji wa kweli kwa sababu uongozi wanapata kwa kutumia...
Wana JF someni vizuri hiyo taarifa ya Kamanda wa Polisi Arusha, utabaini yafutayo, Hawajakataa Lema kutumiwa ujumbe, suala la pili ni kweli ujumbe ulitoka kwenye no ya RC Mulongo ila chanzo cha ujumbe huo sio No ya Simu ya Mulongo, kwa kusema hivyo tunakubaliana kuwa ujumbe ulitoka kwa Mulongo...
Naona kaka umekurupuka haswa , soma nilichoandika harafu angalia ulichoandika kama kina husiana au la, kwanza kabisa nakusahihisha juu ya mwandesha mashtaka hutoa amri kwa mahakama kumuona mshatakiwa anakosa na apewe adhabu kali, mwendesha mashtaka ndiye huiambia mahakama kama kuna ushahidi...
Chei Chei Shangazi, ni wimbo unaonikumbusha enzi hizo za RTD, naomba ujue kuwa polisi na mahakama ni mihimili miwili inayotegemezana, na ukisema nani anatambulika mahakamani ni katika nini hapo, Mahakama inawatambua wote OC CID NA PP, kwa sababu wote hao ni polisi, isipokuwa kwa sasa baadhi ya...
Hapo kuna jambo limejificha kuhusu uhusika wa Mjengwa kwenye Sakata la Kibanda, Mosi Ludovick alikuwa na Mjengwa siku aliyotekwa na Kupigwa Kibanda karibu na ofisi ya Kibanda, Pili anasema waliachana Shekilango Ludovick akiwa anaenda Tabata, baadae wakasema Ludovick alikwenda Hotelini kwa Majid...
Naona wewe ni mbumbu maana hujui taratibu za mahakama na polisi, naomba kukujuza kuwa jalada lolote linalopelekwa mahakamani lazima liandikiwe na Mkuu wa Upelelezi wa Wilaya au Mkoa, na kama Hao hawapo basi huandikiwa na mtu mwingine kwa niaba yao, huwezi sema mahakama haimujui Mkuu wa...
Hapo Hakimu kama kweli alipigwa basi alijitakia kwa sababu huwezi kumwambia mkuu wa upelelezi ambaye ndiye huandikia majalada kuja mahakamani kuwa hamtambui ila mwendesha mashtaka aliyechini ya Mkuu wa upelelezi, hapo kuna ukweli kuwa mrungura ulitembea na huenda alikula na mwendesha mashtaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.