- Thread starter
- #21
mazoea ni mabaya sana sasa ndugu wanakuja ukumbini bila kadi walitegemea nini na harusi za siku hizi,pesa kwanza.....endelea kuvumilia yakikushinda nenda kwa baba paroko.....
Inategemea,ni mambo ya kawaida yanayotokea nafkiri busara ingetumika kwa paroko tulishaenda habadiliki