Jitahidi kuwaulizia wenyeviti wa mitaa or afisa mtendaji pia jaribu kwenda kwenye ofisi ya mkuu wa wilaya huwa wanaweka matangzo na ulizia hata kwa wanajeshi wenye vyeo watakusaidia kaka na utafanikiwa tu.
Ukweli ni kwamba ubora wa kitu huthaminishwa kwa kushikwa,kuangaliwa na kujaribiwa ikilinganishwa na bei ya kununulia pamoja na matumizi yake na ukichukulia bidhaa ipo sokoni na wahtaj ni wengi so ni vzr kuitest mpema ili ujue jinsi ya kuihandle mbele ya safari kuliko kuja kuhangaika badae.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.