Ama kweli hali ni tete kwa viongozi wa afrika na wanaharakati!!! Hii ni baada ya wanaharakati wa vyama vya upinzani uganada kuamaua kufanya mkutano wa kuadhimisha mapinduzi ya nchi za africa kaskazini tunisia, Misri na libya kwa madai kuwa yanayotokea huko ndiyo wanayotakiwa kuyafanya hata wao...
kwa muda mrefu nimekuwa nikifatilia post zenu, zenye challenge za ukweliii,
nimeamua kujitupa ndani ya janvi hili kwani uvumilivu umenishinda nimeona nami nitoe mchango wangu wenye niaya kudai na kusimamia haki zetu zinazoendelea kuporwa na wenzetu walioshika mpini. pamoja sanaaa!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.