Search results

  1. S

    Bodi ya mikopo waanza kuwapunguza nguvu wanaodai mikopo

    akikaa kimya mkopo atakosa, na akiaply mwakani ataambiwa tena PRIVIOUS LOANEES.
  2. S

    HATIMAYE HESLB YATEMA MAJINA KWA 1YR WALIOKOSA MKOPO....udsm wapo 154 waliopata..

    huwez kukumbukwa labda, for my experience fanya nilivyo kushauri
  3. S

    Bodi ya mikopo waanza kuwapunguza nguvu wanaodai mikopo

    afanye kama nlivyoshauri kwa sababu bado yupo kwenye database ya heslb, aende UDOM amuone muasibu
  4. S

    Bodi ya mikopo waanza kuwapunguza nguvu wanaodai mikopo

    inategemea na tatizo la m2, lkn kwa PRIVIOUS LOANEES, inahitajika barua kutoka chuo alichopata awali yenye uthibitisho wa kurudishwa kwa mkopo kupitia hundi husika
  5. S

    KUHUSU Wanafunzi waliopata mkopo awamu ya pili kutoka heslb

    wana JF hawa wanafunz wamepata kwa sababu wengi wao walipeleka barua za malalamiko na vithibitisho mbalimbali mapema. nadhani wataongeza majina mengine kwa wale waliochelewa kupeleka barua hizo.
  6. S

    Bodi ya mikopo waanza kuwapunguza nguvu wanaodai mikopo

    nilkosea, kumbe yuko jamaa yangu tulikua wote kundi hili yeye amepata. jambo la msing alilofanya huyu jamaa alipeleka barua ya malalamiko mapema.
  7. S

    HATIMAYE HESLB YATEMA MAJINA KWA 1YR WALIOKOSA MKOPO....udsm wapo 154 waliopata..

    samahan, nlkua sijafanya utafit vzr, hata P.LOANEES wapo, ila nadhani wataongeza majina mangine, kwa wale ambao walichelewa kutuma vithibitisho vya malalamiko yao heslb
  8. S

    Bodi ya mikopo waanza kuwapunguza nguvu wanaodai mikopo

    BAJET EXHAUSTION wapo. uki goggle majina utawapata
  9. S

    Bodi ya mikopo waanza kuwapunguza nguvu wanaodai mikopo

    we umesema wa biashara hamna, mbona muccobs wamo?
  10. S

    HATIMAYE HESLB YATEMA MAJINA KWA 1YR WALIOKOSA MKOPO....udsm wapo 154 waliopata..

    kundi ambalo halijapitiwa ni PREVIOUS LOANEES tu, mengine yote wamepitia, mpaka wale BUJET EXAUSTION wamepitiwa.
  11. S

    Bodi ya mikopo waanza kuwapunguza nguvu wanaodai mikopo

    kundi lilobaki ni PREVIOUS LOANEES tu, mengine yote baadha wamepata. hata wa bajet wamo
  12. S

    Pesa ya special faculty kwenye mkopo inahusiana na nini?

    vifaa maalum kwenye fakat yako. eg. gloves for experiments but it depend on ur kitivo
  13. S

    Kwa waliokosa mkopo

    Inaonekana mko mikoani ndio maana hamjanielewa, na kama mko Dar basi mmeshakubali matokeo.
  14. S

    Emergence newz emergence newz emergence newz emergence newz: Kwa waliokosa mkopo

    wale waliokua wanadai mkopo na kukutana wizara ya elimu, kesho wanakutana kwa wazr wa elimu saa 1 asubuh, kiongoz ameniambia ni2me kwa wa2 10, nadhani kwa njia hii ujumbe umefka kwa wa2 zaid ya 10, naomba mumpe ushirikiano
  15. S

    Kwa waliokosa mkopo

    Wale waliokuwa wanadai mkopo na kukutana wizara ya elimu, kesho wanakutana kwa waziri wa elimu saa 1 asubuhi, kiongozi ameniambia nitume kwa watu 10, nadhani kwa njia hii ujumbe umefika kwa watu zaid ya 10. Naomba mumpe ushirikiano
  16. S

    Msaada : Kwa mliochaguliwa university of dar es salaam

    natakanije kesho mkuu. nimeona kuna kijana ulimpokea ambae hakua na mkopo, vp anaendeleaje?
Back
Top Bottom