inategemea na tatizo la m2, lkn kwa PRIVIOUS LOANEES, inahitajika barua kutoka chuo alichopata awali yenye uthibitisho wa kurudishwa kwa mkopo kupitia hundi husika
wana JF hawa wanafunz wamepata kwa sababu wengi wao walipeleka barua za malalamiko na vithibitisho mbalimbali mapema. nadhani wataongeza majina mengine kwa wale waliochelewa kupeleka barua hizo.
samahan, nlkua sijafanya utafit vzr, hata P.LOANEES wapo, ila nadhani wataongeza majina mangine, kwa wale ambao walichelewa kutuma vithibitisho vya malalamiko yao heslb
wale waliokua wanadai mkopo na kukutana wizara ya elimu, kesho wanakutana kwa wazr wa elimu saa 1 asubuh, kiongoz ameniambia ni2me kwa wa2 10, nadhani kwa njia hii ujumbe umefka kwa wa2 zaid ya 10, naomba mumpe ushirikiano
Wale waliokuwa wanadai mkopo na kukutana wizara ya elimu, kesho wanakutana kwa waziri wa elimu saa 1 asubuhi, kiongozi ameniambia nitume kwa watu 10, nadhani kwa njia hii ujumbe umefika kwa watu zaid ya 10.
Naomba mumpe ushirikiano
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.