Habari wana JF?Mim ni mwajiriwa kada ya Elimu nilikuwa mechaguliwa bachelor degree in road and railway transport logistics management(NIT), Shida yangu kubwa ni kupata admission letter ya chuo tofaut ya NIT ambayo ime andikwa kozi ya bachelor degree in chemistry and mathematics ili niweze kupata...
Habari wana jamvi nilikuwa naomba kupewa elimu kidogo kipengele cha direct payments to the students chuo cha NIT nimeshindwa kuku kielewa kabisa , lakini kipengele cha tuition fees mekielewa.
Nahitaji kujiendeleza but baada ya kuleta vigezo kusoma degree ni kuanzia GPA 3 na mimi nina 2.9 nimekosa vigezo nahitaji ushauri wenu nifanyeje nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wana jf Nilikuwa nahitaji kujiendleza but baada ya kuleta vigezo vipya vya GPA ya 3 nimekosa vigezo vya kupiga bachelor ushauri wenu nafanya nini ili niweze kujiendeleza.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.