Maafisa ugani ni watu muhimu katika maendeleo ya kilimo nchini, kwa kutambua hilo Dkt Mwigulu Nchemba ameongeza bajeti ya Maafisa hao kutoka 603m hadi 11.5 bilioni.
Kupita bajeti ya Wizara ya Kilimo 2022/23 Serikali imeanza kujenga viwanda vikubwa vitatu vya kuchakatia nafaka mbalimbali nchini...
Kwenye Umwagiliaji: Bajeti ya 2021/22 ilikuwa TZS 54bn/-, 2022/23 ni TZS 366bn/-.
Kuna 188,000ha exclusively kwa vijana, with TZS 200bn/- in loans.
As we speak, interests ya Mikopo ya Kilimo imeshushwa, from 20% to 9%, haijpata kutokea. Niendelee?
Bajeti ya kilimo cha umwagiliaji 2022/23 ni 76% ya bajeti yote ya Wizara ya Kilimo, ambapo ni zaidi ya robo 3 ya bajeti yote ya Wizara ya Kilimo. Unaanzaje kupuuza jitihada za Mchumi wa Daraja la juu Benki ya Dunia?
[emoji666]Hivi sasa, miradi mikubwa ya maji katika miji 28 nchi nzima inaendelea yenye thamani ya TZS 1 trillion.
[emoji666]Bajeti ya Kilimo ni Bil.954/-, kubwa zaidi kuwahi kutokea nchini.
[emoji666]Umeme unasambazwa vizuri.
[emoji666]Utalii unakua
[emoji666]Barabara zinajengwa
[emoji666]Elimu...
[emoji666]Hivi sasa, miradi mikubwa ya maji katika miji 28 nchi nzima inaendelea yenye thamani ya TZS 1 trillion.
[emoji666]Bajeti ya Kilimo ni Bil.954/-, kubwa zaidi kuwahi kutokea nchini.
[emoji666]Umeme unasambazwa vizuri.
[emoji666]Utalii unakua
[emoji666]Barabara zinajengwa
[emoji666]Elimu...
Dkt Mwigulu Nchemba ni mtu sahihi kwa wakati sahihi.
Nimesoma andiko la mwanajf mmoja humu, amemshutumu sana Dkt Mwigulu Nchemba bila hoja za msingi, kama kawaida ya wabongo bongolala. Hivi unawezaje kutuhumu PhD ya Dkt Mwigulu Lameck Nchemba kwasababu katoa speech ambayo haikipendezi chama...
Na Godfrey Mushi
Wasalaam,
Imekuwa siku mpya hatuna budi kumshukuru Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema Kwa fursa hii ya uhai na neema zake katika maisha yetu.
Jana nimemsikiliza Mbunge wa Musoma Ndugu Profesa Muhongo akichangia hoja zake juu ya mpango wa bajeti uliowasilishwa bungeni na Waziri...
Kwani unataka viongozi wawe wanakuja nyumbani kwako uwalipe?
Unataka watumie guta kwenye kazi za watu zaidi ya million 60?
Sent using Jamii Forums mobile app
Akiongea kwenye Hafla ya Kodi nchi Kenya Rais Wa Nchi hiyo Dkt William Samoei Ruto ameshangazwa na ukusanyaji wa Kodi unaoendeshwa na KRA mamlaka ya Mapato ya Nchi hiyo, Kwani ni watu Million 7 tu ndio wenye number za walipa Kodi ilhali Kuna zaidi ya Wateja Milioni 30 wanafanya miamala ya...
Benki ya dunia yaridhishwa na hatua zinazochukuliwa na nchi yetu ya Tanzania katika kusimamia uchumi.
Makamu wa Rais wa benki hiyo Bi @VictoriaKwakwa amezitaka nchi nyingine duniani ziige mfano wa Tanzania katika usimamizi mzuri wa masuala ya uchumi.
The report shows Tanzania scored 3.5 in 2021, the same score 2020, which is above overall IDA average of 3.2 and Sub Saharan IDA average score of 3.1. However, the overall score is 0.3 lower that the score attained in 2013.
It is also higher than West Africa average score of 3.2 and East and...
Wasalaam wanajamvi,
Kheri ya Siku ya Kumbukizi ya Kuzaliwa Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, Endelea kuishi Profesa wa Siasa, Hakika maisha Yako ni shule Kwa watu wengi hasa vijana wanaohitaji kufika mbali kisiasa, Wewe ni mlezi wa Watu wengi, baraka na fanaka ziendelee kukumwagikia.
Leo nimefuatilia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.