Je, Mwigulu na Rutto wanakosea? Tozo haiepukiki Kwa Dunia ya Sasa, Tukubali kubadilika

Feb 7, 2019
41
45


Akiongea kwenye Hafla ya Kodi nchi Kenya Rais Wa Nchi hiyo Dkt William Samoei Ruto ameshangazwa na ukusanyaji wa Kodi unaoendeshwa na KRA mamlaka ya Mapato ya Nchi hiyo, Kwani ni watu Million 7 tu ndio wenye number za walipa Kodi ilhali Kuna zaidi ya Wateja Milioni 30 wanafanya miamala ya mabilioni ya Fedha bila kulipa Kodi. Wakenya wengi wamechangia kauli hiyo Kwa namna tofauti lakini baadhi wameunga Mkono wakishangazwa na idadi ya walipakodi kuwa ndogo, na wengine wakisema ni heri walipe Kodi za Miamala Ili kupunguza deni la Taifa lao, ambalo hivi karibuni limetajwa kuwa deni tishio.

Kauli hii ya Rais Dkt Rutto imenikumbusha ni hivi karibuni baadhi ya watu wememtukana sana Dkt Mwigulu Nchemba tena wakifikia hatua ya kumtaka aachie ngazi Kwa sababu ya kuanzisha Tozo za Miamala, wapo waliojiita manguli wa Uchumi walijitokeza hadharani na kukosoa mpango huo wakiita ni double taxation.

Mimi nawaza hivi kweli Wataalam wa Uchumi katika nchi ya Kenya na Tanzania wanakosea kuja na njia hii ya ukusanyaji? Au tatizo liko Kwa baadhi baadhi ya watanzania wajuaji waliozoea kutolipa Kodi Halali ya Serikali, au Kuna project ya kukwamisha Serikali ya Awamu ya Sita?

Watanzania tupunguze uswahili na ujuaji, Dunia imebadilika, hatuna budi kukusanya Kodi, Kwa njia yoyote Ili kuepukana na Fedhea za mikopo yenye riba kubwa.
20221028_165150.jpg
View attachment 2400539

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akiongea kwenye Hafla ya Kodi nchi Kenya Rais Wa Nchi hiyo Dkt William Samoei Ruto ameshangazwa na ukusanyaji wa Kodi unaoendeshwa na KRA mamlaka ya Mapato ya Nchi hiyo, Kwani ni watu Million 7 tu ndio wenye number za walipa Kodi ilhali Kuna zaidi ya Wateja Milioni 30 wanafanya miamala ya mabilioni ya Fedha bila kulipa Kodi. Wakenya wengi wamechangia kauli hiyo Kwa namna tofauti lakini baadhi wameunga Mkono wakishangazwa na idadi ya walipakodi kuwa ndogo, na wengine wakisema ni heri walipe Kodi za Miamala Ili kupunguza deni la Taifa lao, ambalo hivi karibuni limetajwa kuwa deni tishio.

Kauli hii ya Rais Dkt Rutto imenikumbusha ni hivi karibuni baadhi ya watu wememtukana sana Dkt Mwigulu Nchemba tena wakifikia hatua ya kumtaka aachie ngazi Kwa sababu ya kuanzisha Tozo za Miamala, wapo waliojiita manguli wa Uchumi walijitokeza hadharani na kukosoa mpango huo wakiita ni double taxation.

Mimi nawaza hivi kweli Wataalam wa Uchumi katika nchi ya Kenya na Tanzania wanakosea kuja na njia hii ya ukusanyaji? Au tatizo liko Kwa baadhi baadhi ya watanzania wajuaji waliozoea kutolipa Kodi Halali ya Serikali, au Kuna project ya kukwamisha Serikali ya Awamu ya Sita?

Watanzania tupunguze uswahili na ujuaji, Dunia imebadilika, hatuna budi kukusanya Kodi, Kwa njia yoyote Ili kuepukana na Fedhea za mikopo yenye riba kubwa.View attachment 2400540View attachment 2400539

Sent using Jamii Forums mobile app

Unakusanya kodi kisha viongozi wanajilipa watakavyo na magari ya kifahari, huo ni uzoba.
 
uliona wapi kenya wanakusanya tozo kwenye luku? au bank au kwenye miamala,kalale kesho shule
 
  • Thanks
Reactions: ffn
Unadhani shida ni tozo mkuu, ujinga ni mtu anakuja kukwambia tufunge mkanda tulipe tozo maana haziepukiki, alafu anakuja na hili 👇

landcruiser.PNG
 
Kodi inapaswa kutokana na faida ya mapato, nikimtumia mama yangu fedha ya kujikimu kodi inaingiaje hapo?
 
Huo ni ujinga alilishwa alipokuja huku juzi. Subiri reaction ya wakenya kama watawrkewa rozo za kipuuzi kama hizi za kwetu.
 
Mkuu mbona sijaona mahali popote uliposema kwamba Ruto ameitaka KRA ianze kukusanya tozo? Juu ya kuongeza wigo wa ukusanyaji wa kodi ni sawa kabisa na ndio kilio chetu kwako mwigulu tangia mwanzo. Kwamba ungeza wigo wa walipa kodi kwa kuhakikisha kila mtu analipa kodi na hili janga la tozo lisingekuwepo.


Akiongea kwenye Hafla ya Kodi nchi Kenya Rais Wa Nchi hiyo Dkt William Samoei Ruto ameshangazwa na ukusanyaji wa Kodi unaoendeshwa na KRA mamlaka ya Mapato ya Nchi hiyo, Kwani ni watu Million 7 tu ndio wenye number za walipa Kodi ilhali Kuna zaidi ya Wateja Milioni 30 wanafanya miamala ya mabilioni ya Fedha bila kulipa Kodi. Wakenya wengi wamechangia kauli hiyo Kwa namna tofauti lakini baadhi wameunga Mkono wakishangazwa na idadi ya walipakodi kuwa ndogo, na wengine wakisema ni heri walipe Kodi za Miamala Ili kupunguza deni la Taifa lao, ambalo hivi karibuni limetajwa kuwa deni tishio.

Kauli hii ya Rais Dkt Rutto imenikumbusha ni hivi karibuni baadhi ya watu wememtukana sana Dkt Mwigulu Nchemba tena wakifikia hatua ya kumtaka aachie ngazi Kwa sababu ya kuanzisha Tozo za Miamala, wapo waliojiita manguli wa Uchumi walijitokeza hadharani na kukosoa mpango huo wakiita ni double taxation.

Mimi nawaza hivi kweli Wataalam wa Uchumi katika nchi ya Kenya na Tanzania wanakosea kuja na njia hii ya ukusanyaji? Au tatizo liko Kwa baadhi baadhi ya watanzania wajuaji waliozoea kutolipa Kodi Halali ya Serikali, au Kuna project ya kukwamisha Serikali ya Awamu ya Sita?

Watanzania tupunguze uswahili na ujuaji, Dunia imebadilika, hatuna budi kukusanya Kodi, Kwa njia yoyote Ili kuepukana na Fedhea za mikopo yenye riba kubwa.View attachment 2400540View attachment 2400539

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Akiongea kwenye Hafla ya Kodi nchi Kenya Rais Wa Nchi hiyo Dkt William Samoei Ruto ameshangazwa na ukusanyaji wa Kodi unaoendeshwa na KRA mamlaka ya Mapato ya Nchi hiyo, Kwani ni watu Million 7 tu ndio wenye number za walipa Kodi ilhali Kuna zaidi ya Wateja Milioni 30 wanafanya miamala ya mabilioni ya Fedha bila kulipa Kodi. Wakenya wengi wamechangia kauli hiyo Kwa namna tofauti lakini baadhi wameunga Mkono wakishangazwa na idadi ya walipakodi kuwa ndogo, na wengine wakisema ni heri walipe Kodi za Miamala Ili kupunguza deni la Taifa lao, ambalo hivi karibuni limetajwa kuwa deni tishio.

Kauli hii ya Rais Dkt Rutto imenikumbusha ni hivi karibuni baadhi ya watu wememtukana sana Dkt Mwigulu Nchemba tena wakifikia hatua ya kumtaka aachie ngazi Kwa sababu ya kuanzisha Tozo za Miamala, wapo waliojiita manguli wa Uchumi walijitokeza hadharani na kukosoa mpango huo wakiita ni double taxation.

Mimi nawaza hivi kweli Wataalam wa Uchumi katika nchi ya Kenya na Tanzania wanakosea kuja na njia hii ya ukusanyaji? Au tatizo liko Kwa baadhi baadhi ya watanzania wajuaji waliozoea kutolipa Kodi Halali ya Serikali, au Kuna project ya kukwamisha Serikali ya Awamu ya Sita?

Watanzania tupunguze uswahili na ujuaji, Dunia imebadilika, hatuna budi kukusanya Kodi, Kwa njia yoyote Ili kuepukana na Fedhea za mikopo yenye riba kubwa.View attachment 2400540View attachment 2400539

Sent using Jamii Forums mobile app

“fallacy of association”
 
Watanzania wajuaji...
exemptions,hawajui fedha si bidhaa.ila kwa taasisi za fedha ,miamala ya fedha kama deposit,withdrawal,transfer ya fedha Haina value added,inapaswa kuwa tax free,fee free,levy free ,kwasababu ni kiwezeshi Cha exchange ya vulue ,askudanganye mtu Kodi ni taaluma na canoe za Kodi zinafanana duniani kote
 
Back
Top Bottom