Habari wana jamvi:
leo tena nimekuja na jambo hili linaloniumiza moyo sana lakini sina namna ya kuepukana nalo.
Mimi ni kijana wa kiume,
Nina rafiki yangu wa kiume tuliyodumu katika urafiki wetu huo zaidi ya miaka kumi sasa,
Tulikutana katika maisha ya kawaida yeye akiwa mwalimu wa shule ya...
Habari wana jamii poleni kwa uchovu wa mapambano ya kutafuta mkate wa kila siku.
Lakini pamoja na uchovu mlionao napenda pia tujadili juu ya swali hali na ufafanuzi wake ,huku nikizingatia kwamba wote tusomao swali hili tumeshawahi kuchungulia na kuona moja kwa moja kitu chochote kile.
Sasa...
Habari wana jukwaa .
Naomba niwashirikishe jambo moja kisha tulipatie jibu lenye uhakika.
Nina shauku ya kufahamu ni yupi mwenye mapenzi ya kweli kati ya mtu mke na mtu mume ?
Ni mara nyingi nimejiuliza swali hili lakini mpaka sasa bado sijalipatia jibu na nimeona ni vyema nikaliweka jamvini...
Habari ya majukumu wana jamvi ?
Nimekuja mbele yenu na makala yenye kichwa cha habari hapo juu.
Nimekuwa nilisoma na kufuatilia makala mbalimbali za mapenzi na mahusiano, lakini mpaka sasa bado ninamkanganyiko wa mawazo kuuna wakati nilisoma mapenzi mazuri yanahitaji kufanana au kukaribiana kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.