HELLO!
Leo naomba tusaidiane suala moja, ni ukweli usio pingika kuwa ujasiriamali ni jambo ambalo linaweza kuokoa vijana katika tatizo hili la ukosefu wa ajira lakini kibaya ni kwamba vijana wengi hawana elimu zaidi juu ya ujasiriamali. elimu kama vile
1. ujasiriamali ni nini
2. sifa za...
Pendeza na mwonekano wa Kiafrika kwa nguo kalikutoka GEOAFRICA DESIGN kwa bei nafuu kabisa tunafanya delivery ya bule kwa walio ndani ya Dar es salaam pia tunatuma mzigo nje ya mkoa
0678425645
Habari za humu jamani
Naombeni msaada wenu. Ninafanya biashara ya nguo za vitenge yaani nabuni nguo kisha nauza kwa watu kwa rejareja.
Ombi langu ni kwamba najaribu sana kupanua biashara yangu lakini sijui wapi nianzie. Natamani niwe na masoko sehemu mbalimbali kama vile Zanzibar, Uganda na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.