Ni sawa , ila md5 nazo ni rahisi sana kuzicrack na kuna online tool nyingi sana ambaxo zinacalculate hizo md5 , labda uniambia md5 hard salted one . Hapo sawa ingawa nazo zinaweza kuwa cracked ila inatake time.
Best option ni kutumia Bcrypt hash , yani hixi ndio funga kazi kwasabb huwezi...
Unajua bro kwann nimesema NOVA3 ni kali ?? Pubg lina constant mission yani unajua kabisa nikifika sehmu fulan kuna adui au kuna kitu fulan
Ila hio haipo kwa nova 3 yani hilo game kama ulipita jana ukakuta sehmu fulan labda kuna snippers wa kiarabu kesho huwakuti yani unawinda na una windwa...
Wewe game kali na zinachallange ziko nyingi sana
Umecheza NOVA 3 orbit version
Hilo game ni kaliii yani kama muvie vile ! Kiukwel nalipenda kwasabab mission ziko nyingi na challenge za kutosha , snipers na nk
Watch demo hapa
Hahahahaha umeongea vizr !!!! Na ni ukwelii me natumia iphone sijaona kitu ambacho nilikuwa nafanya kwenye android nikashindwa services zangu ziko vile vile .... sema th ndo nafurahi hii platform yao na mfumo endesha ios 13 na 14 ziko poa sana very smooth
Nimehama halolel nw niko zantel yani mpaka najiona falaa kwann sikuhamia zantel mda wote natumia halotel
Zantel wako vzr sana kuanzia bando mpka speeed yao
Wewe jamaaa bana unajua lazima useme au uweke madhara ndo uje useme kama hizo issue mbili ni hatar kwa users
Toa kwanza effects!!!!
Hao apple wenyewe wanajua sana ilo swala ila wameona huwez fanya lolote la kutibua data za user.
Na sio apple tu hadi androids nyingi wameweka hio kitu
Sijakaaataaaa ila sasa anaglia kejeli za kwanza alizokuja nazo .... mtu kama kwenye uandishi kakosea unamwambia bana sehemu sio andika hivoo lakn yeye kaja kwa style ambayo ni wazi ni kucrash uzi mzima .... unajua umu kuna begginer wengi sasa watajifunza nn kwenye uzi kama wewe umeucrush ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.