Apple: Wameshindwa au hawajui hii weakness kwenye simu zao

Toyota ist
Cc 1290
Year 2003
Km 96,000
Ful Ac
Ful document
M 8.2

Je unahitaji kuuza gari yako?
Je unahitaji kununua gari nzuri?
Basi karibu sana jerry empire tukuhudumie
Tupo ilala dar es salaam
Tunafanya kazi siku zote za week
Wasiliana nasi
0623953036whatsapp/callView attachment 1522107View attachment 1522109View attachment 1522108View attachment 1522111View attachment 1522110View attachment 1522112View attachment 1522113View attachment 1522114View attachment 1522115
Hizi ni fujo mkuu.
 
Wewe jamaaa bana unajua lazima useme au uweke madhara ndo uje useme kama hizo issue mbili ni hatar kwa users

Toa kwanza effects!!!!

Hao apple wenyewe wanajua sana ilo swala ila wameona huwez fanya lolote la kutibua data za user.

Na sio apple tu hadi androids nyingi wameweka hio kitu
 
Wewe jamaaa bana unajua lazima useme au uweke madhara ndo uje useme kama hizo issue mbili ni hatar kwa users

Toa kwanza effects!!!!

Hao apple wenyewe wanajua sana ilo swala ila wameona huwez fanya lolote la kutibua data za user.

Na sio apple tu hadi androids nyingi wameweka hio kitu

Tuanze Polepole : unajua maana ya “SECURTY “ ni zaidi ya kutamka, Securty sio wewe unavyopenda tuu pia inavyotakiwa iwe ndio maana kila kitu kina security policy, soma za apple pia ziko strictly sana hata serekali ya inaziheshimu.

Sasa nikuulize tuu, kwa nini waweke “find my phone” wakati wanajua kuna kipengele cha Securty kirahisi kabisakinachoweza kuzuia isiwe na msaada ? Manake ukizima data au ukizima simu find my phone haina msaada tena.

Sio find my phone tuu simu yako imebiwa kwenye gari mko watu 50 , mwizi kazima chap hata kama data ulizima huwezi ipata kirahisi , ila isingezimwa ungepiga na ingeita.

Zaidi kuna simu zile zenye button ya silence on/off ubavuni, huoni pia ni rahisi pia mtu ku ku mute na akapotea na simu yako kirahisi.

MBAYA ZAIDI: Camera pia unaweza tumia hata kama ume lock, assume mtu umeacha mahali mtu akapiga picha za kishenzi na baadae zikatumika kama ushahidi, utafanya nini?

Zaidi nyingine mpaka mziki unaweza sikiliza pia ikiwa locked, ni sawa ?
 
Tuanze Polepole : unajua maana ya “SECURTY “ ni zaidi ya kutamka, Securty sio wewe unavyopenda tuu pia inavyotakiwa iwe ndio maana kila kitu kina security policy, soma za apple pia ziko strictly sana hata serekali ya inaziheshimu.

Sasa nikuulize tuu, kwa nini waweke “find my phone” wakati wanajua kuna kipengele cha Securty kirahisi kabisakinachoweza kuzuia isiwe na msaada ? Manake ukizima data au ukizima simu find my phone haina msaada tena.

Sio find my phone tuu simu yako imebiwa kwenye gari mko watu 50 , mwizi kazima chap hata kama data ulizima huwezi ipata kirahisi , ila isingezimwa ungepiga na ingeita.

Zaidi kuna simu zile zenye button ya silence on/off ubavuni, huoni pia ni rahisi pia mtu ku ku mute na akapotea na simu yako kirahisi.

MBAYA ZAIDI: Camera pia unaweza tumia hata kama ume lock, assume mtu umeacha mahali mtu akapiga picha za kishenzi na baadae zikatumika kama ushahidi, utafanya nini?

Zaidi nyingine mpaka mziki unaweza sikiliza pia ikiwa locked, ni sawa ?
Binafsi sijawahi kuwaelewa apple kwenye hili,samsung kuanzia android 7 walizuia hiyo kitu.ingawa bado kuna matobo ila atleast.kuna dada alikuja akaomba nimchajie note 8 yake ofisini kwangu,nikaona hewalaa wacha niiwashe kisha nitazima baada ya kukagua baadhi ya vitu.

Ikawaka poa,nikacheki camera,sms kibao za whatsapp zikaingia,nikasema wacha nizime sasa.mara simu inaomba password,nikabaki nacheka kwa kwikwi.bahati hakujali sana alipoikuta on.
 
Yakwanza inawezekana nenda tu kwenye settings udiactivate.
Nenda kwenye settings, then Face ID & passcode, ingiza passcode, shuka chini kwenye allow access when locked, deactivate control centre.

Ya pili Ni bonge la weakness kwa kweli
WWhy is t a weakness??
 
Yah nikilock siwezi zima data..

IMG_5157.png

Uki lock wapi hapa? Nime test hiyo control Cente na notification center hakuna, iphone gani unatumia wewe?
 
Wewe jamaaa bana unajua lazima useme au uweke madhara ndo uje useme kama hizo issue mbili ni hatar kwa users

Toa kwanza effects!!!!

Hao apple wenyewe wanajua sana ilo swala ila wameona huwez fanya lolote la kutibua data za user.

Na sio apple tu hadi androids nyingi wameweka hio kitu
Waweke kwa settings tu. Mmiliki yeye ndio aamue kutumia au la. Sio sahvi ni kama wengine tunalazimishwa.
 
Siku simu yako iki freeze au touch screen ukiwa na shida ndio utajua faida ya kuweza kuzima simu yako hata ikiwa locked.

Pia kutoweza kuzima haizuii wezi kivile. Mwizi anaweza kutoka tu line na kuitupa.

Sidhani watengenezaji hawakufikiria. Ni mlinganyo wa pros na cons tu. Kuna factors nyingi wanaangalia.
Zamani tulikuwa tunachomia battery. Siku hizi kila kitu sealed.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Security za simu zipo kulinda data za mtu sio simu kuibiwa ,kimefatilia sana mambo haya unaposikia high security
wao wanazingumzia data zako ila kwa wabongo security wanazunguzia simu ikiibiwa uipate ,ni vitu tofauti sana
ukisema umeweza kuaccess data ya mtu kwenye iphone bila ku unlock ni weakness kubwa lakini najua hilo haliwezekanini
 
Back
Top Bottom