BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,213
- 39,038
hujui kitu mkuu, heri ukae kimya
webs kibao tu bado tunashusha vitu free, hakuna kulipa , Sikuhizi hata madogo wa miaka 13 wa huko ulaya wanajua kutengeneza apps na wanatusaidia sana kuchakachua apps za kulipia tunazidownload na kuzitumia bila tatizo lolote.
Kazi ipo kwa watumiaji wa iphone maana huko wanawakamua kisawasawa na kubana mbavu wapenda vya bure, ni lazima ulipie tu hakuna namna
Sawa, ukishakubali kutumia iphone kubali gharama me nalipia huduma ya apple music burudan nayopata naona hta hio pesa kama ndogo hv