Tangazo Nmesoma na Kulielewa, sio utaratbu wa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuongea ktu bila kua na uhakika.. Naomba urudie tena na kwa umakini mkubwa.. Ukshndwa asa hv Kweli ww ni Kchwa Ngumu!! Na sijui ni ilikuaje ukafanikiwa kuchaguliwa kujiunga Chuo !?
Na hio tena sio 1.97 ni...
Hivi una uhakika na unachoongea kwel!! na Je' hilo Tangazo ni umelielewa vzuri kweli wewe? Ni vzuri ukaulza kwanza kuliko kumek Conclusion mwenyew!!
UDSM Sio IFM Hamna michango ya kufkia 1.9.. Tuition ni 1.3 Kwa B.Com wote except Accounting major na 1.5 kwa B.Com Accounting na hyo sio Lazma...
Siku za kusoma kwa semester mbil ni 238
Mabibo hostel ni 250/= na Main Campus ni 430/= kwa siku.. na hzi hulipwa kwa semester ikiwa pamoja na Caution Money ya 10,000/= kwa first year ambayo inakua
MABIBO - 41,500/= kwa semester ya kwanza na 29,750/= kwa semester Ya pili
Main Campus Inakua...
Nashukuru ndugu, nmekuelewa na ntajitahd..
hakuna kitu km hcho kama ni umepata UDSM Fanya kusubiri Joining Instruction form pamoja na admission Letter na huwa zinaanza kutolewa chuo pale 2 weeks before hamjafungua. First Year mtatakiwa Kureport chuo Jmosi Tar 01/10 kwa ajili ya Regstration...
Ni iko vle vle tuu, First Yia wote Bcom ni watasoma pamoja na ni kozi zlezle, Kuanzia second yia ndo watakua tofauti.. Bro Usiwaze, Ni iko vzuri wapo jamaa wanasoma Hio ktu tunawaona bt km utataka kubadlsHa na una sifa za kusoma kozi nyngne km Accounting, Finance, marketing au HR utaweza, UDBS...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.