Search results

  1. Wordsworth

    Zitto Kabwe: Rais Samia alipaswa kutangaza kifo cha Hayati Magufuli akiwa ameshaapishwa, kitendo Cha Wakuu wa Ulinzi kuwa Watoa Taarifa ni hatari!

    Huyu naye, anafikiri nchi ni ACT Wazalendo? Hajui usalama wa NCHI ndio NCHI yenyewe? Alitakaje? Embu atupishe.
  2. Wordsworth

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hawa nao, wanafananisha the likes of Ngorongoro na vipark vyao? Wanafikiri tofauti ipo kwenye marketing tu?
  3. Wordsworth

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hata mimi nashangaa. Marekani wanatuletea chakula kutoka "wakulima" wao? Wangetumia hao "wakulima" kumaliza food deserts huko kwao badala ya cheap propaganda. Halafu kwanza wanalimaga nini kama sio magmo tu? Idiots.
  4. Wordsworth

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Tuepukane na laana ndogo ndogo.
  5. Wordsworth

    Mtambue Chifu/Mtemi wako

    Hii kalenda ni uongo mtupu. Harriet Tubman alikuwa chief Tanganyika?
  6. Wordsworth

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Ahsante, I'll try to keep up.
  7. Wordsworth

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Acha tu! 200+ pages! Sema napenda thread ijaejae alafu niienjoy na snack pembeni.
  8. Wordsworth

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Ndio mnaanzaga hivi. Mara paap nchi nzima inabinafsishwa tunakuwa Kenya. Mshindwe!
  9. Wordsworth

    Nikiwaona Vijana wanaograduate, Nawahurumia sana

    Hapa ndio shida. Degree inatayarisha zaidi viongozi na wasimamizi wengine. Hatuwezi wote kuwa viongozi.
  10. Wordsworth

    Jiji la Dodoma ni chafu!

    Na mvua hii....mji mzima unanuka mavi.😔
  11. Wordsworth

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    SinGaPorE
  12. Wordsworth

    Kwanini Mwamposa asiende kwenye mahosiptali kuombea wagonjwa na tukaona wanapona?

    Wanaume wamejaa tele wanaombewa nguvu za kiume.
  13. Wordsworth

    Mzazi unasomesha mtoto aje kuuza chips na kuwa bodaboda. Inahuzunisha sana!

    Hahahahhahah.... hunidanganyi. Nazijua hizo nchi vizuri sana. Tena Tz inaafadhali kushinda nchi nyingi duniani kwa kuwa hatujakumbatia sana ubepari usio na mipaka. Unajua hali ilivyo Europe na North America? Do you know why they feel trapped? Do you know why they're almost suffocating? Kwanini...
  14. Wordsworth

    Mapya yaibuka sakata la Wakurugenzi DSTV kusimamishwa, mapenzi pia yahusishwa!

    Umeandika vyema. Waandaji wanajua hata kama kazi ni mbovu itaangaliwa kwakuwa watazamaji wanapenda vya kwao. Tutawakosoa tu ili wajirekebishe.
  15. Wordsworth

    Mzazi unasomesha mtoto aje kuuza chips na kuwa bodaboda. Inahuzunisha sana!

    Wewe ndio umeandika cha maana. Hamna hoja ya kujadili. Suala la ukosefu wa ajira ni mtambuka, tutazunguka weee lakini hata tufanyeje, kutokana na mfumo wa dunia (neo-liberalism) asilimia kubwa ya watu (hasa vijana) ni lazima wakose shughuli za kuwaingizia vipato. Ilitabiriwa janga hili...
  16. Wordsworth

    Mapya yaibuka sakata la Wakurugenzi DSTV kusimamishwa, mapenzi pia yahusishwa!

    Lol...ndio ni subjective, ila unaweza usipende kitu lakini ukajua ni kazi nzuri ya sanaa. Hiyo Jua Kali nimeiona na bado sana haijafikia kiwango cha kusema eti ni tamithilia kali. Umeshawahi kuona tamthilia kali? Ikiwa wameshindwa tu kwenye uandishi wa matukio ambao ndio msingi wa hii sanaa...
  17. Wordsworth

    Mapya yaibuka sakata la Wakurugenzi DSTV kusimamishwa, mapenzi pia yahusishwa!

    We acha tu! Script zao mbayaaa hawajui kuigiza. Yaani ni kichefu chefu. Kazi kubadilisha masebule tu no action. Mara 200 maigizo ya zamani ya ITV kuliko hizi aibu za siku hizi.
  18. Wordsworth

    Mapya yaibuka sakata la Wakurugenzi DSTV kusimamishwa, mapenzi pia yahusishwa!

    Ndio maana tamthilia zinazoonyeshwa huko zote mbaya.
Back
Top Bottom