HUYU NDIO MKONGWE SASA""" .
.
umri wake ni miaka 53 na bado Ni mchezaji wa Kulipwa kwenye mchezo wa mpira wa miguu. Anaekipiga kunako klabu ya Yokohama FC ya Japan Kazuyoshi Miura amekuwa akicheza kupitia miongo mitano tofauti.
Wadau mnaonaje Haji Manara akajengewa sanamu kutokana na mchango wake mkubwa aliotoa kwenye Taifa kuwa msemaji Bora Duniani Hadi FIFA wameandika hajawai tokea msemaji Kama huyu tangu dunia ianzishwe
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.