Habari za jumapili wanajukwaa, Kwanza nitangulize kuwasalimu mdugu wa jukwaa pendwa wana MMU, natumai Mu wazima wa afya mnaendelea vyema na kulijenga taifa letu la uchumi wa kati..
Twende kwenye maada aisee WANAUME Ttuna mambo mengi sana usipokua na afya njema ya akili utaishia kuwa kichaa au...
Habari wana jukwaa,
Kwa muda mrefu sana nilikuwa najiuliza hivi watu wanaotoaga ofa bar kwanini huwa hawaishiwi, au wanaotoaga misaada mikubwa pia kwa nini wanaendelea tu na maisha yao afu mimi ambaye sifanyi hivyo maisha yangu hayajabadilika kitu yapo vilevile.
Kwa muda mrefu sana nilikuwa...
Kwanza niwasalimu wakuu wote, poleni na Mihangaiko ya hapa na pale. Kwenye mada sasa kama ambavyo kichwa kimesema Mimi binafsi ni moja kati ya watu Ambao walikua hawaamini kunaweza kuwa na Mwanamke mzuri Jamiiforums ila sasa nimezibwa mdomo nimefumbwa macho hata ushuhuda nautoa kwa keybord tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.