Mkuu nime install win 10pro lite naona imekaa vizuri tuu bila kurudisha drivers naona imenyooka tuu japo nilifanya backup kwa double driver kabla ila bado sija restore, vipi kuna ulazima wa kurestore??
Asante mkuu ila naona umebase sehemu moja tu kwenye mapenzi vipi sehem nyingine maana wengine huko juu umechambua vipengere vingi.
Ulisema utakazia zaidi sehem kama..
Tabia zake
Sehemu yake ya hisia
Jinsi ya kumfanya azidi kuwa karibu na wewe
Mtizamo wake kwako
Mtizamo wako kwake
Unachopenda...
Mkuu naomba usiniruke
Mimi mwanaume kuzaliwa 17/05 jina ( I )
Mwanamke wangu kazaliwa 21/05 jina ( H )
Uhusiano ni mpenzi tu bado uchumba haujawa rasmi..
Mkuu Rakims naomba unichambulie kwenye nyanja zote muhim tafadhari..
Mimi mwanaume kuzaliwa 17-05 jina linaanza herufi I
Mwanamke wangu amezaliwa 21-05 jina linaanza herufi H
Uhusiano ni mpenzi tunaishi pamoja sijamuoa bado
Mimi ni mwanaume
Mimi ni mwanaume nimezaliwa 17-05 Jina langu linaanza herufi (I)
Yeye mwanamke amezaliwa 21-05 Jina lake linaanza herufi (H)
Mkuu Rakims naomba uniangalizie katika nyanja zote, kila idara mkuu..
Nawasilisha..
Mkuu sijui tatizo huwaga ni nini kwenye hizi hp leo imewaka nimeshangaa maana niliona niachane nayo tu nisiikorofishe.
Leo nimejaribu imewaka flesh tuu hadi nimeshangaa..
bado sijajaribu kubadili ila battery wakati nazima pc ilikuwa na 70 asilimia na niliitumia bila chaji kama 30saa hivi kabla sijaizima ambapo nilivyozima kuja kurudi ndo nakuta hivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.