Saafi sana Mwalimu huyu aastahili pongezi kwa kujitoa Muhanga kusaidia watoto wa maskini angalau na wao wapige hatua kidogo. Mbona haya mashule yanayomilikiwaa na waheshimiwa mitihani huwa imeshafanyika kwa njia za majaribio ya kawaida na siku ya mtihani wa mwisho huwa ni kuhitimisha tu
ISRAEL inakusaidia nini katika maisha yako hapa bongo, unakaa kujadili nchi ambayo haina mpango wowote na wewe sana sana ni nchi ambayo siku zote inapanga strategy za kuua watu tu. NAICHUKIA ISRAEL KULIKO NCHI ZOTE DUNIANI
Naona waliochangia kuwa wanafunzi wote waislam na wakristo wavae HIJAB wameshinda hivyo vazi hilo litangazwe rasmi kuanzia primary hadi A-Level. liwe sehemu ya uniform
wanatumia nguvu za shetani (freemason) ndio maana wanachukiwa sana na mataifa yote, hata wakitaka kupigana vita na nchi yeyote wanamwuliza kwanza shetani kuwa vita hii tutashinda? Akiwaambia ndiyo wanaingia vitani wakiambiwa hapana , wanatulia tu
Sisi wastarabu tunasubiri katiba mpya kwanza ipitisha SHARIA itakayozuia mavazi hayo, tutapambana na hao wanaoshindilia ma.ta.ko yao kwenye soks mpaka watakoma
HUU MRADI HAUNA SULUHISHO LOLOTE HAPO DAR HALI ITAKUWA MBAYA SANA BAADA YA kufunguliwa maana watalazimisha kusimamisha magari pande zingine na kuruhusu yanayopita barabara iliyotengenezwa ili wajiridhishe kuwa wamefanikiwa
Kwa rasilimali tulizonazo laiti viongozi wetu wangekuwa na uzalendo kama Kagame miaka kumi tu nchi inabadilika kuwa kama ulaya. Production ya dhahabu ya Bulyanhulu mwezi mmoja inaweza kujenga maghorofa yote ya DODOMA, sasa tuna migodi mingapi, Uranium ndo kibao,
Uchawi wa kututawala bila kujijua kuwa anatukandamiza ndio maana alikuwa akiona sehemu fulani wanaanza kumshtukia basi mwaka unaofuata mwenge unalala hapo hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.