Achana na binti huyo kwanza hana mapenzi ya kweli, kwanza kwanini aachane na ally kisa dini? Penzi la kweli halichagui dini,kabila,rangi,umri wala kiwango cha elimu mtu akupende kama ulivyo nawe umpende kama alivyo.Shika ustaarab wako kaka hapa huna chako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.