Nashukuru kwa ushauri hospital nlishaenda kila kitu kiko sawa!Walinipa dawa cha ajabu hata cku zangu cjaziona ni mwezi wa pili sasa na hamna mabadiko yeyote!
Jaman wanajamvi,
Napenda kuuliza huduma za huyu bwana anajiita Dr. Mwaka kwa yeyote aliyewahi kutibiwa naye!Juzi nilimpigia simu akapokea mdada akasema nitume pesa ili huduma!
Je, huduma zake zikoje maana me nna tatizo la kutopata mtoto kwa muda mrefu!
Habari wana jf!Naomba kusaidiwa jinsi ya kupata king'amuzi cha azam kwa sisi watu wa mikoani!Me niko singida na ninahitaji sana king'amuzi hicho maana nimesikia ni vizuri!
Mtaongea sn kuhusu huyu mfalme wa ulimwengu, maana wayahud hawajaanza leo toka mimba ku2ngwa, walitaka kumuangamiza alivyozaliwa lkn hawakuwez maana mungu alikuwa pamoja nae, na hayo yote yatapita wampinge wasimpinge injili inasona mbele yesu ni bwana!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.