Habari wanajukwaa! Nimeitwa interview nafasi ya Afisa Mtendaji naomba hints kwa aliyewahi hudhuria hii interview ya hii nafasi. Natanguliza shukrani kwako.
Nadhani busara itumike jamani,mtoa ombi alikosea kuwauliza wa dar pekee kumbe hizo nafasi zikitoka zinatangazwa Tanzania nzima labda hajui hilo,pili ni kuhusu ukoseaji wa spelling,kumrekebisha co vibaya lakini namna ya kumrekebisha lugha zilizotumika co nzuri,tuelekezane kwa lugha laini...
ahsante kwa jibu lakini maswali ya msingi hayajajiibiwa kama lini utafanyika usahili wa nje nadhani tetec utakiwa nayo,jinsi ya kutuma maombi,wale wenye degree ni lini? Nimenukuu maswali ambayo hayapata majibu nategemea utatupa taarifa wanajf.
Ni muda mrefu tangu tuanze kutoa lawama juu ya WAZEE ambao wamwshika madaraka kuwa hawatuwezeshi vijana hasa katika kutujenga ili tuweze kukubalika katika soko la ajira. Hivyo natoa rai kwa vijana waliopata nafasi ya kushika nafasi (utawala) ambapo anaweza kuleta mabadiliko basi tusizichezee ili...
Thank you bro for your time and come up with a great idea. It is true there are many graduates in the streets without any job to do. I have no doughty you will receive a lot of emails or sms from graduates to join you. The most important step right now is to form a strong union with committed...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.