Huyu Habibu Mchange atakuwa anazungumzia familia yake na Si watumishi wa umma.
Tangu mwaka 2013 Mtu hajapanda daraja.
Watumishi wa Umma tumuambatanishe na Uyu tunapopeleka mashtaka yetu kwa MUNGU dhidi ya Hawa wakoloni weusi🙋
Roma katupa Jiwe Gizani Kwa kupitia fasihi kama tawi la sanaa🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kilicho cha Haki kitafika tu kwa mlengwa hata akiwa nyuma ya duniaaa
Vivaaa akili kubwaaaa
Viva Mwana Hip Hop halisi
Viva baba Ivan
Viva sauti ya wanyongee
Vivaaa Romaaaaaaaa
Habar zenu wana jukwaa la wapenda nao.
Leo napenda kusikia kutoka kwenu kuhusu Matukio au tukio La kujinga ambalo umewai kufanya au kufanyiwa na mpenzi wako.
Mm Nakumbuka nimewai kuombwa denda / romance na mpenzi wangu darasani tena tukiwa tumekaa mbele kabisa ya darasa enzi Izo za kishule...
Sitasahau Siku tupo chuo hostel, Demu wa rafiki yangu akaandaa party akaniomba niwe MC hahahahaha
Nikaendesha party vizuri mpaka mwisho nikashangaa nyagi zinaletwa tukazigongaaa mwisho wa Siku mshkaji wangu Akaniambia Leo tunalala hapa hapa..... Akalala na demu wake upande ule upande mwingine...
Duhhhhh.
Na muuliwaji akajihami asiuaweee akaua na Yeye atakuwa na kesi ya kujibu??? 🙆🙆🙆
Viongozi wa dini endeleeni kufanya kazi yenuuuuuu mambo si shwariiii uko tunakoelekeaas🙏🙏🙌
Wakati mnatongazana hamkutushirikisha ivyo hata kuachana c vyema kushirikisha umma.
Kwani Ndio Mara ya Kwanza kwenu ku kwichi kwichi
Ivi ni Mara ya Kwanza kwenu kuachana??
Muache utoto please🙅🙅🙅🙅
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.