Mwambieni hajachelewa tunaweza kutuliza hasira za mkulu muhimu aje na mbuzi jike..kilo 25 za mchele..debe 4 za mkaa..mafuta ya sunflower lita 5..isizidi tarehe 24/12
Halmashauri zinatakiwa zibuni vyanzo mbalimbali vya mapato! labda kitu pekee ambacho wakazi wa huko Ngorongoro wanachotakiwa kumshukuru Babu, uwepo wa huduma yake ulichangia Serikali kuikumbuka miundombinu ya kule
Pole mleta mada najua wapo watu wanaona aibu kueleza maswaibu yanayowakuta ila kama na wewe ni sehemu ya hiyo familia ambayo kila uchwao watu wanasimika mzizi ujachelewa njoo kwa tiba ya kurudishiwa marinda!!
Mzumbe Moro kitabu kipo tight!! Mazingira ya kule starehe hadi wknd sbb ya umbali wa kusogea town! ni tofauti na Moro ambako thursday tu watoto wote wanajaa City Lounge(ladies free)
Hata vile vichwa(vipanga) vinapatikana kule Moro, kuna kuku pia wa kienyeji ambao ni madem wa kirugulu!! misosi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.