unajua ww huna akili ht kidogo ukrein mpk kufikia leo wametumia dola billion 150 niambie ni nchi ngp huko ulaya wana bajeti hyo!!! lkn pia isitoshe ukrein ilishaanza kujianda na vita miaka nane iliyo pita kwa kupewa siraha za kisasa!!! na ht hpo unaposema kuwa siraha wamepewa kwa uchache ivi hyo...
Ww ndugu akil Zako unazijua ww mwenyewe. Kl siku Zaid ya wanajeshi Mia saba wawe wanakufa tu Tena wa Russia duuh kwa hyo ikipiga hesabu 700 *30 Zaid ya wanajeshi 21000 ndani ya mwaka mmoja si chin ya laki Tatu duuh ww vyanzo vyako cijui ni wapi? Ht ww mwenyewe hutumii akili kichwani mwako
Mmmhhh hpo kwl hakuna maswala ya ujasusi kwl maana ha ni viongoz wakubwa na tension iliyopo kwa Sasa kl kitu kinafanyika kwa umakin mkubwa Sana huyo itakua ameuawa na warusi Sasa zele inabid ajipange Sana mdayc mrefu na yy atauwa
Sijawahi kuchangia chochote kwenye uzi huu ila Leo nitachangia kidogo!!!! Nimeona kwenye huu kuna pande mbili wenyewe mnasema pro nato na pro Russia [emoji635] lkn wachangiaji wengi humu ni watu wenye ngoz nyeusi ambao kl siku tunapambana kujikwamua kwenye dimbwi la umaskini uliokisili...
Hii operation ni ngumu sizani km US walikutana na operation km hii lkn hii operation ikiisha na urusi kufanikisha lengo kwa 100% bc urusi litakuja kuwa taifa lenye nguvu barani ulaya na Dunia kiujumla maana kuzishinda nchi 40 ambazo zinachangia silaha na wapiganaji pia
Ht km Ni kwl Sasa kumringanisha p. Didy Na Christian Ronaldo Au Messi uzur wa usanii njee ya show anazo fanya anauza music kwenye plattform mbali mbali ambazo zina muingizia hela nyingi pamoja Na matangazo Kwahiyo Mm cio km kuna fact Na huwez kusikia Messi Au Ronaldo kampita utajir Jay Z
Sent...
Lkn kipind unahitaji kutoka kimziki Wala hukuona km inakubana watu wanvyotia tia hela kwenye kaz zako wanakubrand vizur baada ya kutoka na kukutafutia connection Ndio unaona sasa wananibana km unaelewa Hakuna anaye taka apate hasara kwenye biashara n swala la mda tu
Una mindset ndogo Sana ndugu yangu " Hakuna mfanyabiashara asietaka faida na ukiingia kwenye biashara ya mikataba ww Tayar ni bepari Alafu pili unavyo sain mikataba wl hawakushikii mtutu unapewe unasoma na kuelewa ndipo anaangusha saini yko, swala la mda Mbn kanye west kasain mkataba wa milele...
M Sizan km iko hivyo kwa sababu mkurugenzi mkuu wa kampun ni yeye diamond ana mameneja wa tatu na kl msanii anameneja wake kwaiyo wcb cio ya fela au salamu wote wanategemea mshahara kutoka kwa mond Ndiyo ambae wana mmeneji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.