No.
Tokea jana naona kuna habari picha za satellite kwenye mitandao ikionyesha uharibu uliofanywa na shambulio la Israel.
Taarifa za madhara ya shambulio la Iran kwa Israel ni kujeruhiwa mtoto kujeruhiwa na mabaki ya kombora lililotunguliwa.
sina taarifa zaidi.
Cool down.
inaonekana uko na stress sana. kila mtu ana stress zake sasa hizi zako naona unataka kuhamishia kwa watu wengine.
stress ni sehemu ya maisha, na kuichukulia positively inaweza kusaidia kutoboa.
usikate tamaa kirahisi.
cool down
Uislamu na Mayahudi wote hawakubali kwamba Yesu ndiye Masia, ni Mwana wa Mungu, alitoka kwa Mungu na ni Mungu.
Kwa taarifa tu, Mayahudi yalimpokea Mohamed kwa mikono miwili wakiamini ndiye masia. Aliposhika mapanga tu ndo wakamstukia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.