Ndugu yangu wa kiume yupo kidato cha nne karibia muda wote kichwa kinamuuma, anasahau mambo mara kwa mara pia uelewa umeshuka, alienda Temeke hospitali kufanya vipimo akaambiwa hana tatizo.
Naombeni mawazo yenu
Kitambo sana kuna mwamba mmoja aliniulizia modema kama hyo...ila kwa sasa simpat hewan...so mwenye kujua wap naweza kupata modem kama hyo...na kama unafahamu niambie bei yake ina range vip?
HARAKATI ZA JORAM KIANGO....hii series ina vitabu kama...lazima ufe jorum,mikonon mwa nunda,mtambo wa mauti,salamu toka kuzimu,najisikia kuua tena...tutarudi na roho zetu? na vingine vingi...binafsi namkubali sana BEN R MTOBWA.
pia kuna utata wa 9 decembe cha HUSSEIN TUWA
Unajua nin mkuu...wengi wetu huwa tunaongea mambo kutokana experience,mi nimetoka diploma dit...mwaka wa 3 tulikuwa tunakaa room watu 2 tu....na watu wa shahada wao kuanzia mwaka wa kwanza mpaka wa mwisho wanakaa room watu wa2 tu....kwa hyo nikiona sehemu kuna tofaut lazima nishangae...tena...
mbeya university of science and technology...nilikuwa nasoma join instruction yao hawa jamaa...nilipofika kwenye mambo ya hostel nikachoka....eti chumba watu 8. jaman ...,kama watoto wa secondary....kumbe ni watu wanaosomea shahada....
kama hujajisajili huwez kughairisha mwaka..maana chuo kinakuwa hakikutambui na baada ya muda flan kupita nafas yako inapotea...kwa hyo mwakan unaanza upya kufanya application
ulikuwa na gpa ya ngap mkuu? Maana udsm wanataka kuanzia second upper class....ardhi kwa diploma kupata ni shida sana,rafik yangu alikuwa ana gpa ya 4.4 ya comp eng kutoka dit alitaka akasome civil lkn wamemtosa na wamemtosa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.