Wadau, kuna kitu najiuliza kuhusu MPH ya MUHAS. Kwa miaka mitano mfululizo now naona watu wengi sana wanaiappky kulingana na Masters degrees nyingine. Hii imepelekea mimi kujiuliza swali je ni kwa sababu gani watu wanaikimbilia hii course?? Kwa wingi wa wanaoiapply na waliograduate nikafikiri...
Wakuu ninaomba msaada kidogo kuhusu Bachelor of Vetenary medicine ya pale Sua. Kwa anayeijua au kwa aliyeisoma, Je ina ajira kwa sasa?? Au bado mazinguzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.