Amani ya Mwenyezi Mungu aliyeumba Wanadamu wote iwe juu ya kila asomae na kuchangia Mada hii!
Kufuatia sakata la Wachimba visima kutakiwa wajisalimishe na kwenda kulipia tozo husika hali ambayo imeleta taharuki kubwa miongoni mwa jamii kiasi cha Watu kueleza kwa vipi Serikali yenye jukumu la...
Salamu kwako Afande [emoji113].
Napenda kuchukua fursa kukuomba uweze kuwasiliana na Wakuu wa Vituo vya Kambi mbalimbali za Mafunzo ya JKT Kwa Mujibu ili wawaruhusu vijana warudi majumbani kujiandaa kwenda vyuoni maana Siku zimekwisha.
Officially mafunzo yameisha wiki ilopita...
Nina mtoto wa ndugu yangu ana umri wa takriban miaka 10 ni wa kiume, tumemtoa kijijini alikokuwa anaishi na baby Na Bibi Yake mzaa mama yake, lengo la kumchukua ni kutaka asome na kuondokana mazingira ambayo yangempekea hata kujifunza Wizi n.k !
Sasa tumeishi naye sasa Kwa miaka miwili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.