Search results

  1. A

    Makonda kuwa waziri kwenye wizara nyeti 2025 na mgombea urais 2030, na kuwa the Next Magu

    Nyie endeleeni kumjaza upepo tu , sie yetu macho na masikio! Mwenyezi Mungu atujalie kuona mwisho wa kila jambo!
  2. A

    EDO: Kama Simba walihujumiwa kwanini wamemfukuza kocha?

    What if naye alishiriki kwenye hiyo hujuma?!
  3. A

    Mchengerwa ataka majina ya Wakurugenzi wasiolipa Fedha za Kujikimu za Watumishi Wapya

    Kusema ni jambo moja lakini kufuatilia utekelezaji wake ni jambo lingine.
  4. A

    Wanawake msikubali uzinzi wa waume zenu

    Wanaume acheni kuchepuka. Bakini njia kuu na inawezekana mpaka uzeeni.
  5. A

    Wanawake msikubali uzinzi wa waume zenu

    Talaka uidai pale tu unapoona kuna hatari ya uhai wako kuwa shakani. Ikifika hapo kimbia talaka ikukute umeshatoka kwa huyo Mwanaume. Lakini iwapo Mwanaume atatimiza wajibu wake wa msingi Kwanini utake taraka kwa njia ya sms tu ulizokuta kwenye Simu yake ?! Yaani sms chats uruhusu zina nguvu...
  6. A

    Wanawake msikubali uzinzi wa waume zenu

    I am not encouraging men to Cheat to their wives. Sifagilii wanaume kuchepuka ninachotaka iwapo ikitokea mume kumkamata akicheat mwitikio wa wake zao uwe wenye hekima wa kujenga na sio kubomoa. Wanawake waloolewa wajifunze kuwa jua wanaume na wajae maarifa ya kisaikolojia na hekima badala ya...
  7. A

    Wanawake msikubali uzinzi wa waume zenu

    So far wanawake wengi walioachana kwa kudai talaka wameenda kujikuta wameingia kwenye uhusiano na wanaume za watu. Sasa hapo unakuwa umefanya nini? Umeruka jivu ukakanyaga tope au ? Sababu ya umri fulani unakuta wa umri wako wengi wameoa. Vinginevyo uokote Mario ambapo ni kujidhalilisha...
  8. A

    Wanawake msikubali uzinzi wa waume zenu

    Tujifunze upendo na ukarimu kwa watu wote ina faida kuliko kuchagua chuki na choyo kwa ndugu wa mume. Ndugu yao ndiye bread earner lakini hutaki ndugu zake wale wala kusaidiwa?! Kwanini mnathamini sana kula wakati vinaishia chooni?! Halafu mngejua ukarimu na upendo kwa watu ni takwa la...
  9. A

    Wanawake msikubali uzinzi wa waume zenu

    Labda nao iwapo ila zao zinafana za uchoyo lakini iwapo wao ni wakarimu na upendo kwa ndugu wa mume hayo hayawezi kuwafika abadani [emoji108][emoji108]
  10. A

    Wanawake msikubali uzinzi wa waume zenu

    Imeandikwa wapi? Dua la kuku Kwani linampataga mwewe? Umpe laana wewe ni mzazi wake? Hata huyo mzazi inategemea maana Imeandikwa laana isiyo na sababu haimpati mtu. Labda iwe ni coincidence tu . Failure zipogo tu Hata kama Mwanaume hatachepuka. Kwani wote wanaopitia mitihani ya maisha ni...
  11. A

    Mikutano ya Tundu Lissu pekee ndio ina uhalisia hapa Bongo, hainaga Maigizo. Huwa ananikumbusha Mikutano ya Nyerere

    It is okey to change opinion after learning and understood. Nakuelewa @ Yohana Mbatizaji
  12. A

    Kwanini Watanzania hawapendi kusafiri?

    Watakwambia mambo ya vacation/ holiday ni ya wazungu [emoji3][emoji28] Wazungu mambo mengi hufanya for reasons.
  13. A

    Kwanini Watanzania hawapendi kusafiri?

    Kwa miaka mingi sana nilikuwa sipendi kusafiri isipokuwa pale ilipolazimu tu labda kikazi au kijamii. Lakini kwa neema ya Mwenyezi Mungu nimefunguliwa, nimejifunza nimepata ufahamu sasa hivi sio yule tena. Ujinga tupa kule. Nimewekwa huru kweli kweli.
  14. A

    Kwanini Watanzania hawapendi kusafiri?

    Mimi baada ya kujifunza Na kuelewa umuhimu wa kusafiri kiafya nimeazimia kuanzia kupanga na kusafiri kwa kuanzia maeneo ambayo naweza kuya -access Kwa urahisi. Matharani unaweza kuanzia kwa level ya Wilaya , mikoa , nchi jirani , za mbali kisha ng’ambo. Kwa kadiri ya uwezo wako. Walau uanze...
  15. A

    Kwanini Watanzania hawapendi kusafiri?

    Tujifunze kuwa open minded. Tuepuke ujuaji. Tujiruhusu kujifunza wakati wote.
  16. A

    Kwanini Watanzania hawapendi kusafiri?

    Kwanza kitaalam mtu anatakiwa kusafiri kufika mahala hajawahi kufika in every year regularly Kusafiri ni hitaji la afya ya akili. Kama yupo anayefahamu basi ni 1 kati ya 1000000
  17. A

    Kwanini Watanzania hawapendi kusafiri?

    Kwanza ukifanya simple survey kujua iwapo wabongo wanajua faida za kusafiri nina uhakika Kama wapo ni wachache sana 1 katika 100000. Ndio maana wanakwambia hawawezi kusafiri bila sababu ya msingi [emoji3][emoji28]
  18. A

    Kwanini Watanzania hawapendi kusafiri?

    Ujinga. Hatujui umuhimu wa kusafiri kiafya. Uchumi.
  19. A

    Maoni, Mapendekezo na Ushauri kwa Walimu

    Kwenye nyuzi kama hizi ndipo utawajua walimu walioko JF [emoji3][emoji28] Mafuta ya taa yagimwagwa shimoni tu faster hao wanaanza kujitokeza [emoji38][emoji38][emoji38]
  20. A

    Mikutano ya Tundu Lissu pekee ndio ina uhalisia hapa Bongo, hainaga Maigizo. Huwa ananikumbusha Mikutano ya Nyerere

    Kwenye vyama vingine vya siasa huwa wanasombelea watu Na kuwajaza. Kwanini wasiache nature I take it’s place?!
Back
Top Bottom