Inawezekana ukabila ukawa na maana linapokuja suala la utamaduni na chimbuko la watu tulipotoka lakini kwa mambo ya kitaifa binafsi sioni maana ya ukabila, mambo ya ukabila ni ya msingi tunaporudi huko tulipotoka na maeneo ambayo tunapofanya dini zetu za asili na utamaduni, Mwl. Nyerere alisema...
Wasalaam!
Yaah! Wote tunaelewa nyakati zinabadilika sana, Yanga inavyobadilika na mpira wa bongo unabadilika, Kutoka kwa Manji to bakuli now kwa GSM, nakumbuka kipindi Yanga wanatembeza bakuli faraja yao kubwa ilikuwa kuwafunga Mikia, lakini Yanga kuwafunga Mikia sio habari, washazoea. Habari...
Viongozi wa Yanga inabidi waelewe tatizo la Yanga si wachezaji, tatizo letu ni benchi la ufundi. Shida kubwa ninayoiona Yanga ni miundo ya timu (structures). Tunapounda mashambulizi muundo haueleweki na ikitokea tunacheza dhidi ya timu bora zinazozuia nafasi inaleta shida sana kutengeneza...
Women are desperate for high status Alpha males, just like some men are desperate for young, beautiful women.
The more money you have, the more social status you have, chicks flock to you, ama vipi bhana...
~ Step by step seduction. Uzi kwisha.
Kutokana na maarifa, uwezo na umakini wa kutosha wa hawa miamba ya Munich Bavaria, ni dhahiri kuwa wanaenda kubeba ndoo ya UEFA.
Ni timu pekee duniani yenye uwezo wa kucheza away games ikiwa comfortable kama wapo kwenye uwanja wa nyumbani, na pia ni timu pekee yenye wastani wa ku-score goli...
Olympiacos ndiye atakuwa bingwa mpya wa Europa league baada ya kuitoa Arsenal, hawa jamaa mpira wanaujua na hawabahatishi kama nyumbu wengine, kwa hiyo ni suala la muda tu bingwa kupewa kombe lake.Kuitoa Arsenal inawapa nguvu ya kupambana na vibonde waliobakia, my prediction fainali itakuwa kati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.