Kwa tathimini niliyoifanya katika majiji ya Dar es Salaam,Mwanza na Arusha mwitikio wa wananchi kuacha kutumia rambo ni mkubwa sana.Kwa hii kampeni,Serikali imefanikiwa na itafanikiwa zaidi.
Kinachotakiwa elimu ya mazingira iwafikie wananchi maeneo yote ya nchi sio walioko mijini tu,hata wa...
Hivi kuna uhusiano wa harufu kali za taka mwili (tajwa hapo juu)zitolewazo kutoka mwilini kuendana na chakula tunachokula?Taka mwili ya watu gani(waafrika,wazungu,waasia)hunuka zaidi?
Bila kujali usafi,ni maliwato gani hutema zaidi kati ya watumiaji tajwa hapo juu hata usiweze kula karanga...
Juzi asubuhi wakati nipo maeneo ya Kibamba Chama Jijini Dar,huku watu/abiria wakisubiri daladala kuelekea maeneo mbalimbali ya Jiji kwa mihangaiko yao,baadhi tulikuwa kijiweni kwa shughuli zetu za bodaboda walionekana vijana 5 au 6 hivi wenye umri kati ya miaka 10-13 wakiwa na vindoo/visinia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.