Is he unique anyway? My brother P, should we praise the Almighty God for our leader or praise him in person? If he is doing to the wishes of his fellow citizens he need not praises because that is how he was supposed to act. Now, why all those praises?
CHADEMA ni chama ambacho uasisi wake hauko sawa na chama tawala! Mimi nadhani kuzungumzia uchaguzi wa ndani wa chama tajwa ni kukikosea chama. Kuna maslahi gani kuzungumzia uchaguzi ndani ya chama husika? Asiyetaka kuona mwenyekiti aliyepo anaendelea kuwepo anayo nafasi ya kuhamia chama kingine...
We need to be courageous for with God we're assured protection, power and love. Any spirit that is contrary to the will of God is of gods outright!
We are not seem righteous by uttering Godly words only but with our own action and behaviour evil and ill-will.
''If God is for us, whoever is...
Kukataa sifa ya udhaifu hadharani ni kukiri kuwa u dhaifu pasipo mdhaifu kujua. Yamkini, ni kwa bahati mbaya mtu mmoja au taasisi moja yaweza kuona mambo au viashiria vya utendaji hafifu vya mtu au taasisi nyingine na kujiridhisha kwamba tatizo ni udhaifu (incapacity) kitabia, kiutendaji...
Mungu huwapenda wasemao ukweli lakini huwavumilia wasemao uongo! Ukweli lazima ubaki kuwa ukweli na uongo vivyo hivyo.
Kama taifa, tunahitaji ukweli ushamiri ili tuweze kuyafikia na kuyatekeleza malengo yetu pendwa ya maendeleo ya nchi. Ikiwa tutaukumbatia uongo na kuufanya uwe ndio ukweli basi...
Kwa wale wajuzi wa mambo wanisaidie!
Nadhani maendeleo yanamaanisha kupiga hatua kwa kuelekea mbele. Awamu hii inanifanya nijiulize kidogo juu ya uelewa wangu wa awali kuhusu tafsiri hasa ya maendeleo.
Nafikiria kuwa inawezekana maendeleo yakamaanisha kurudi nyuma. Nayasema haya kwasababu...
Ni dhana njema kuzungumzia unyonge na umaskini IKIWA tu inaamanisha kutengeneza fursa ambazo zitawafanya wanyonge na maskini wa nchi kupata ahueni ya maisha ya kila siku. Hii ni kama vile; uhakika wa kupata huduma za afya kwa unafuu wanaoumudu,upatikanaji wa pembejeo za kilimo kwa wakati na kwa...
Katika jamii ya watu wenye ustaarabu na wanaoelekea kwenye ustaarabu kukubali kukosea ni jambo la kheri. Kamwe, kukosea hakumaanishi mwenye kufanya kosa hajui anachokifanya na si kwamba hajui kwa sababu hana uwezo wa kujua anachokifanya, lahasha! Pengine ni mbinu tu anayoitumia mhusika katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.