Hii ndio shida ya kufikiri kwa kukayika katika wakija wanataka kura wewe unajiona wa maana kuliko watanzania wenzako baada ya kuwaumiza wenzako unaanza kulilia kuipenda kwako nafsi yako. Tembea katika kweli ya hafsi mwendo lwa sasa ni kupasua majipu bhana bora upende tu usije ukapata predha haya...
Wa Imani moja na wewe utamkuaje maana mkulima alipopanda mbegu zilipooya yakaota na magugu na Bwana akasema yabakishwe mpaka wakati wa mavuno. Kwenye ndoa hakuna kichaka hata ukioa binamu yako jitahidi kukabiliana na ukweli wa tofauti za kufikiri na majukumu ya mume na mke.
Nimependa utafiti wako maana unasababisha watu wasitumie penseni zao badala yake wazitupe kwente kampeni. Sina hakika kama CCM watapenda kumfanyia fujo Zito nadhani unaongekea CCm tofauti na ile yenye mbinu 100 za kushinda uchaguzi na sasa imeshatumia tatu pekee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.