Hapa iko hatari kubwa,hii nyumba inaweza waka moto saa yoyote, na sijui wale watu au wataalamu ya hii mambo ya umeme walisomea shule gani, na nani aliwafundisha hii mambo ya umeme, hii hi kuhatarisa maisha ya wananchi wanaoishi kweye hizi nyumba, mungu saidia hao watu, tutasuhudia mengi kweye...
mwaka wa 2020 unangonga hodi, na lazima jiwe aaze mikakati, lakini mbeya iko na weyewe, mbeya ni upizani damu, ati naibu spika tulia anataka kupambana na mhe mbiliyi pale mbeya , je ataweza hata kaa amepewa hela ngapi na jiwe
ulijua aje alizaa nje ya ndoa, maana njia ya kujua pengine wewe ndie baba wa hako katoto, siulizi kwa ubaya lakini naona ajabu unajua ati mtoto sio wa mume wake mkuu
I FULLY DIS AGREE WITH YOU,Sikubaliani na wewe kabisa ati hakuna utajiri wa ukweli au harali,je unataka kusema kila billionaire hapa duniani ametajirika kwa njia baya au sisizo halali, LA,je usawai tembea nje ya TZ uone mabilionaire wakubwa na ujue historia zao, mfano tajiri number moja duniani...
you mean a holder of a bachalors degree in agriculture has a take home of 1.3m, i dont need a phd holder those are teachers at uni and research institutes, i need the pay of a bachelors degree holder and a masters degree holder pls, so is this 1.3m a masters or bacherlers mkuu, nifafanulie pls...
mkuu nimejaribu lika namna na sipati, kumbuka siko hapo tz, kwahivyo sina nafasi bora ya kuongea na watu, kama ni mataifa mengine kama kenya kila mtu kwanzia raisi mpaka mkuu wa jeshi, jaji mkuu, waziri , karani ofisi hata mtu wa kupika chai ofisini wewe enda tu kwa website utakuta kila mtu na...
Natumaini yote mko salama kabisa, sasa sababu ni vingumu sana tz kujua mishara ya watumishi wa Serikali sio kama mataifa mengine ambao unaenda tu moja kwa moja hadi website unakuta kila kitu,
Niko na maswali naomba msaada wa majibu, nataka kujua misahara ya watu ambao wako na hizi aina za...
Mkuu hapa kwetu mtaa watu wahahitaji chakula bora, mavavi bora, wanahitaji matibabu ya hali ya juu, wanahitaji kuendesa PRADO, BMW na AUDI, naona hizo mahitaji zote lakini shinda ni 2 tu, hao wanaohitaji hizo vitu na pia mimi hakuna ena hela, 1 ya kumuezesa kununua hizo vitu, 2 mimi mweyewe...
Hilo gazeti hapa limemuonea magufuli huruma, badala ya kumuita FOOL, lingemuita IDIOT AND UNCIVILISED SYCOPHANT SEMI ILLETERATE PRESIDENT, yaani raisi mjinga, hana elimu na hata hajui maendeleo ni nini, kwa kweli hii ndio magufuli wa kweli hajui kitu, pubavu wa kawaia tu
Tank you, ni hakika magufuli anavuja sheria pale anaposema hakuna nyongeza ya mishara, hakuna kupadiswa vyeo na mengine, hii ndio shinda ya kuongozwa na mtu asiyejua umuhimu wa kusemu katiba, jiwe ni bure kabisa
Haaaaaa ati nini mkuu, umenena ukweli kabisa,najua hata kina mama samia na majaliwa wametoa kisiri, wale kweli hawajatoa ni jiwe na kibaraka wake bashite
barikiwa kutoa ni moyo sio utajiri, mungu anabariki weye kutoa alicho nacho, kumbuka mama mjane aliyetoa sadaka ya cent 3 pekee ny yesu akasema huyu mjane tutamusoma milele,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.