Kabla hata sijaanza kusoma huu uzi naomba kuunga mkono hoja kwa 110%. Baada ya kusema hayo mkuu, naomba ruhusa yako nianze kusoma madini uliyoyaandika
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Kwani wamelazimishwa kucheza? By the way, hatujakataa kudhaminiwa tunachohoji mdhamini wa timu ya Yanga kwanini awe mdhamini wa timu nyingine? Huoni ni rahisi kupanga au kuamua matokeo zitakapokutana na Yanga au mpinzani wa Yanga?
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Mpaka nimemkumbuka yule CEO wa kike wa Simba SC, angekuwepo wangetolea tu ufafanuzi watake au wasitake!
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Kwanini usimpe heshima Haji Manara aliyesema kwenu wote ni matahira kasoro wawili tu, baba yake na mzee JK? Kuna mkataba gani usiohojiwa? Kwa maslahi yapi? Unaposema timu ni mbovu umetumia kigezo gani? Ipo nafasi ya ngapi kwenye msimamo waligi? Na wewe ulitaka iwe nafasi ya ngapi?
Sent from my...
Mangungu anatuharibia timu. Mimi binafsi hata Simba ikikutana na maji maji ya Songea naanza kwanza kuamini kuwa Simba itapigwa, ikitokea tofauti basi ni Alhamdulilah!
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Halafu naona uto mnaumia sana Simba inapofanya vibaya. Hii inaonesha ni kwa namna gani mnaipenda Simba japo mdomoni mnaiponda
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.