Kesi ya uchaguzi inayo endelea hapa kilwa imesogezwa mbele tena hadi tarehe 19mwezi huu,inanyo onyesha ccm wamefanya mambo yetu yaleee ili uchaguzi urudiwe tena wampokonye mbunge wa upinzni alie shinda kwenye uchaguzi kiti cha ubunge
Wavua magamba wanapita sehemu zote hasa ccm ilipo poteza majimbo hasa wakati huu ambao wabunge wapo mjengoni ili kutengeneza mazingira yakuponda wabunge walio pita kwenye uchaguzi kwa tiketi ya upinzani na wao wajioshe na kulaghai wananchi wawachague msimu ujao na hii ndio kazi anayo ifanya...
Nape Nnauye ameenda kilwa kusini na kumtukana sana mbunge wao bwana Suleiman Bungala maarufu ***** na kumwambia kuwa ccm wana dola hivyo wata hakikisha wanampokonya kiti kwa sababu yeye ni CUF, jamani kwani kampeni si zilisha malizika? sasa huu ni ubabe au?ccm ubabe sio mzuri banaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.