Siku vijana watakapoamua kupiga kura ndo utakua mwisho wa CCM kuongoza nchi.
Nimesimamia chaguzi baadhi, naa wapiga kura wengi wa CCM ni wazee na kama vijana ni idadi ndogo sana na ni wale vijana ambao hawajitambui ambao wanategemea kupewa tishet za ccm ili ziwe nguo zao za kuvaa.
CHADEMA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.