Nchi ilifika mahala RAIS ananunuliwa suti na waarabu koko wa mjini
lakini sishangai sana, JK na familia yake waliwekwa mikononi na waarabu koko wa Home Shopping Centre
Acaha ngosha atunyooshe tuuu
wanasema his chances are slim both sides of the Union. Lakini kama ana akili ajaribu kule visiwani and who knows he can repeat what mzee did kupiga kote kule na huku kwa machogo billy na pohamba wanaweza kuwa na detailed analysis ya jamaa maana mkimya sana na dingi inaonekana ni mzungumzaji...
Soma namba 8 hapo chini
Basically Bara tumezidi kuwanyonga kiuchumi hawa jamaa. Acha watuchukie tuuu
Wao wanasema wanataka tushirikiane kwenye mambo 2 tuu
1. Mambo ya Nje
2. Ulinzi
Sisi tunawabana na mambo 22
Kiasi Zanzibar ishindwe kukua kiuchumi. Maana kisiwa cha watu milioni moja na...
#1. Rais wa TLS na Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA ambaye pia ni Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bungeni Mh. Tundu Lissu alivamiwa nyumbani kwake akitoka kuwakirisha Watanzania Bungeni akapigwa risasi 38 na watu wasiojulikana.
#2. Maiti 17 zakutwa katika ufukwe wa koko beach zikiwa katika viroba...
UPDATE:
Tanzania imejitoa rasmi katika Mpango wa Uendeshaji wa Shughuli za Serikali kwa Uwazi (Open Government Partnership-OGP) hatua ambayo inazua wasiwasi kuhusu utekelezaji wa sera ya uwazi na uwajibikaji iliyoasisiwa na Rais mstaafu Jakaya Kikwete.
Hatua hiyo ya kujitoa kwa Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.