Mamboz,
Nilitumaga ombi la kumtafuta mchumba humu JF muda mrefu kidogo, kwa experience niliyoipata wanaume wengi hawako serious. Yaani wanatuona sisi wasichana tunaoandika huu Uzi basi ni hajatulia hivi, au tu wabaya hata hatutongozwi, lakini huo mtazamo sio sahihi.
Tunajitambua, ni vile tu...
Hi mamboz
Naomba kupata connection,na ujuzi kuhusiana na biashara hii ya nguo za mitumba.
Ni nguo gani rahisi kutoka kwa haraka,na naomba kupata connection za watu wanaouza kwa balo.
Ahsateni.
Habari zanu wapendwa, kama kichwa cha habari kinavyojieleza mimi ni binti mwenye 28 yrs, elimu yangu ni Diploma, ni Mjasiliamali, naishi mkoa wa Mtwara, mkristo, Situmii kilevi, sina mtoto. Uzito wangu ni kg60
Vigezo vya ninayemuhitaji:
> Awe mkristo
> Elimu yake akinizidi mimi hapo itakuwa...
Habarini wapendwa, , Mimi nina nywele ambazo niliweka dawa , lkn kwa sasa nahitaji nywele zangu za asili , wengi wananishauri nikate nianze upya lkn nywele zangu hazikui kwa haraka, naombeni km kuna mtu anajua njia nyingine ya kuondoa hii dawa kwenye nywele ili nibaki na za asili.
AHSANTE.
Habarini wapendwa, , Mimi nina nywele ambazo niliweka dawa , lkn kwa sasa nahitaji nywele zangu za asili , wengi wananishauri nikate nianze upya lkn nywele zangu hazikui kwa haraka, naombeni km kuna mtu anajua njia nyingine ya kuondoa hii dawa kwenye nywele ili nibaki na za asili.
AHSANTE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.