Habari wadau wa MMU!! kuna tabia hua inazngua knoma kutoka kwa baadhi ya madem, hiv mtoto wa kike unawezaje kupanga safari kutoka kwenu/ kwako unaenda kwa mshkaj ukiwa Mp, unataka kugundua nn?
Jana nikiwa maeneo flan ya starehe nachek football games huku nikshusha moja mbil, ghafla ikaingia txt...
Habar wnajukwaa! natumai ni wazima wa afya!
Nimekwama kdogo nna simu aina ya samsung s6 edge+ imecrack kioo, so nahitaj kuweza kujua cost ya kioo chake!!
Then kuna ishu ya network nataka kuipandsha network wajuz naomben msaada kwa hil[emoji120]
Habari zenu wana jukwaa la TGSF
kumekua na matangazo ya kuzifungia simu znazotumia mfumo wa android ifakapo mwsho wa mwezi huu wa march....Je kuna ukwel kwnye hili?
mwenye kujua chchote plz share nami[emoji120]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.